This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Sasa umekuja kutangaza ujinga wako humu.Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Kwa hiyo ukatuma hela he he heeeee hii nchi ina raha zake.Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Si kila kitu ni uongoChai yenye mchanganyiko wa tangawizi na malimau
Huu ni uongo, bill of lading hakuiona?Nakushauri kubaliana na hali. Hiyo ndo imeshaenda. Kwenye maisha ya upambanaji ni kitu cha kawaida kutokea. Mwaka 2019 kuna mama aliliwa kama 108m na sio kwamba hata alituma pesa.. alienda kabisa China kwenye ofisi zao kuagiza mzigo. Kontena zimefika hazina rim hata moja bali matakataka kama mawe na makaratasi. Karibu tumpoteze ila akajipanga upya na sasa hivi yuko njema kifedha kuliko mwanzoni. WAPUUZE wanaocheka hapa kwasababu watu wa aina hiyo ni maskini hawajui mambo ya upambanaji. POLE SANA NDUGU
Tena wanafurahia sana matatizo ya watu. It's very sad though badala ya kumpa majibu ya hovyo ni bora kukaa kimya maana huwezi jua yupo na maumivu kiasi gani. Hili taifa limekuwa na watu waajabu sanaKupitia huu uzi nimeelewa WaTanzania wengi wana misongo ya mawazo [emoji119]