Wakuu nina wazo

Yani simu ww ndo umnunulie eeeh kwa hiyo hawez jinunulia hata kiswawadu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚โคEwwww
 
Tatizo sio pesa
Kama anauza aseme tu nauza DAU laki 3
Nimlipie KODI me babaake
We sa uuza hiyo KYUMA pesa utakayolipwa baada BIASHARA kukamilika nenda kalipe KODI mwenyewe na ukabadili battery [emoji367] la simu yako
Watu msiokuwa na pesa mna stress sana!! Sasa akanunue betri kakwambia simu yake mbovu?? Halafu mbona una makasiriko au ww ndo huyo demu anayedai pesa ya kodi??
 


Unatoka kijijini unaingia mjini kizembe sana wewe, acha ujinga
 
Huyu kapenda ila binti sio class yake anaforce kuimiliki ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hapana Demu sio ni Chuma ulete.

Baadae umri ukishaenda atakuja kulalamika humu eti wamemchezea.
Hapo anataka wa kumlipia kodi, kumnunulia Iphone n.k.

Ameitwa na Mwamba akaonekana yuko bize na simu na kimawazo hayupo kabisa.

Kifupi uyo demu kaona jamaa ana pesa lakini hakuna mapenzi hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ