Wakuu nina wazo

Na huyo pia alisema ana 100k ambayo anaitegemea kwenye mshahara
 
Yupoje huyo dem mkuu?? Mbona kama niyeye huyu
 
Nyie wanaume muwe mnadate na watu wa class na size yenu, sio kukurupukaa.
Tumeshachoka kusikiliza kero zenu hapa, mxxxiiiieeew
Coca, sisi tunawajua wanawake wa class zetu, na ndio tunaowafata. Tatizo ni hao wanawake wa class zetu kujidai matawi wakati sisi tunawaona ni class zetu!

Mfano huyu mwanamke anaejidai anataka iphone 12 wakati nauli ya kwenda kazini hana, kodi ya nyumba hana, huyo ana class gani ya kumshinda mleta mada?? 🀣🀣🀣

Mwanaume anapokuhonga 20,000, sio kwamba hana hela nyingine, ni kwamba anakuona wewe ni wa 20,000. Haijalishi wewe unajiona wa class gani πŸ˜„
 
Well saidπŸ™πŸ»
 
Ila huyu dem simuachi jamani ana pussy imenona halafu aijatumika sana nataka this round niigonge haswa halafu namuachia mbawa ndio dawa ya wanawake wa hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona utakoma wee, maana hapo hakupi nyapuu had umpe faranga, na kwa kuwa unataka nyapu yake tamu bas utatoa tena na zaidii.

Kazi unayo babuu wee, kimekurambaaaa. Woiiiih
 
Sasa kipimo Cha mwanaume ni kudeal na majukumu,Sasa kama Kodi inakushinda hapo we uage mashindano tu sio ligi yako
Mnapowasema wanaume kutowatunza wapenzi wao wa kike (girlfriends) muanze kwanza kuwasema baba zenu

Umesema vizuri sana kipimo cha mwanamume ni kudeal na majukumu. Turudi kwa baba zenu sasa nao ni wanaume sio?

Ikiwa ndivyo mnapokuwa ombaomba, kosa ni la nani? Ni letu au la baba zenu?

Hiyo sio shida yetu kosa ni la baba zenu waliwatia mimba bi wakubwa zenu halafu wanashindwa kuwatunza nyinyi watoto zao

Iweje wanategemea sisi wanaume wenzao tubebe jukumu lao?

Until we marry her, we ain't her responsibility

Kings we never playing fatherly role on girlfriends

The game is brutal but still fair
 
Ebooooh!! Hapo ndo mnapoyakanyaga na kuyatimba eti kumuona fulani ana class yako kumbe sivyo.

Kutokua na hivyo ulivyosema haina maana ndo awe class ya huyu mleta mada, ni vile ametaka huyu jamaa ili aendane nae afanye hivyo kwani uwiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…