Wakuu niongeze nini hapa? Nasoma comment zenu.... PANAITWA #LUGANOKIDSSHOP NAUZA nguo za watoto .. Naomba maoni yako moja tu. Na ushauri kidogo.

Wakuu niongeze nini hapa? Nasoma comment zenu.... PANAITWA #LUGANOKIDSSHOP NAUZA nguo za watoto .. Naomba maoni yako moja tu. Na ushauri kidogo.

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Tupo CHATO PLAZA... CHATO mkoa wa GEITA
IMG_20241221_194453_815.jpg
 
kwakua ni duka la nguo za watoto weka kabati la aluminium ndan weka poder mafuta yote ya watoto kwanzia new born mpaka miaka 5 weka pempazi wipes sabun za aina zote na zile za maji za kutoa harufu kwenye nguo za watoto weka celelack na vtu vya lishe vilivyo pakage kama boga lishe unga wa lishe nk UJAPIGA HELA APO?
 
kwakua ni duka la nguo za watoto weka kabati la aluminium ndan weka poder mafuta yote ya watoto kwanzia new born mpaka miaka 5 weka pempazi wipes sabun za aina zote na zile za maji za kutoa harufu kwenye nguo za watoto weka celelack na vtu vya lishe vilivyo pakage kama boga lishe unga wa lishe nk UJAPIGA HELA APO?
Mkuu asante nitatendea kazi ushauriii
 
Back
Top Bottom