Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
- Thread starter
-
- #41
Sawa vipi biashara na madili yoyote ya pesa ndefu unaweza kuniunganisha mkuuhela ndefu labda uibe, ila hiyo elimu yako kihalali huwezi pata hela ndefu
Usicheke mkuu watu ndio walivyo wasikuone unafanya biashara fulani wanapenda kuiga iga sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asante kwa mawazo mkuu nitajaribu hiliTafuta shamba huko ndani ndani kalime bangi utatoboa maana hata hazihtaji dawa za wadudu, maana kila mchongo wa pesa ndefu watu washaushika na wanapeana conection kwa kujuana na kuaminiana c kujuana mtandaon
Tutapita tu mkuu kikubwa subiraThat truly even me I wish to pass through ur way
nenda migodiniSawa vipi biashara na madili yoyote ya pesa ndefu unaweza kuniunganisha mkuu
Utaratibu unakuwaje huko migodini, vibali vya kuingia ??? Je kuna information yeyote kuhusu malazi, chakula na huduma zingine za kijamii??nenda migodini
Achana na Mambo ya Vyeti? Una Chura?Wakuu poleni na majukumu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums, kama mnavyojua now baadhi ya vijana kama mimi ndio tumemaliza chuo tumerudi mtaani japo harakati huku mtaani hazisomeki.
Bila kupoteza muda wakuu nisaidieni kuniunganisha na michongo yoyote ile ilimradi iwe ya pesa ndefu kama ni ajira wakuu nitashukuru sana maana nina diploma ya Accounting and finance na bado nasubiria cheti changu cha degree mwezi wa 12 mwaka huu
Pia kama kuna biashara za pesa ndefu wakuu mnaweza kuniajiri kama Accountant officer pia ninao uzoefu wa marketing and sales kikubwa biashara iwe na mauzo atleast 100m per a day
#Natanguliza_shukran_wakuu
Si chini ya bilioni 20 nipo tayari kuuza utu.Achana na Mambo ya Vyeti? Una Chura?
Unao utu? Maana isije ukawa unataka uza kitu ambacho huna.Si chini ya bilioni 20 nipo tayari kuuza utu.
Ndio maana nimekuwekea dau kubwa bado nina heshima yangu mkuuUnao utu? Maana isije ukawa unataka uza kitu ambacho huna.
Siku hizi biashara zina competition sana unakuta sehemu mmoja biashara zipo kama sita zinafanana mauzo yanakuwa chini wateja wachache unakuta siku nzima umeingiza buku 5 mpaka 7 sasa hapo kuna faida kweli na bado hujatoa gharama na matumizi binafsi. Biashara inachangamoto nyingi sanaJitahidi ujue unakosea wapi ili biashara yako isije kufa, kujiajili ndo kila kitu lakini ukitaka kuajiriwa utachelewa mkuu ..
Unao ujuzi wakati huo umesema biashara yako inakaribia kufa...🙌😂😂😂Mshahara ni makubaliano mkuu kuhusu huo 100m hiyo ni mauzo ya kwenye biashara ya tajiri anayetaka kuniajiri maana ninao ujuzi ya kumanage business
Halafu biashara yako inakufa!" Nina ujuzi wa kumanage business.Mshahara ni makubaliano mkuu kuhusu huo 100m hiyo ni mauzo ya kwenye biashara ya tajiri anayetaka kuniajiri maana ninao ujuzi ya kumanage business
🤣🤣Aendelee Sasa,Ila dakika sifuri tuko mlangon,we hujiulizi kila leo takukuru inajir🤣🤣ni kuwakamata wezi wadogo wadogo dailyAtakua mwizi msomi 😂
Sawa ila ni ngumu kumkamata mwizi mwenye shule 😂🤣🤣Aendelee Sasa,Ila dakika sifuri tuko mlangon,we hujiulizi kila leo takukuru inajir🤣🤣ni kuwakamata wezi wadogo wadogo daily
Biashara zinazofanana zikiwa sehemu moja sio sababu ya kufanya mauzo yawe chini, mbona kkoo maduka ya nguo yamefatana na watu wanauza kama kawaida . Kikubwa kujali wateja, uwaminifu na kuwasiliana vizuri na wateja. ukifanya ivo kesho lazima mteja aludi kwako na wataambizana kwa hudumu nzuri unazowapa, ila simaanishi kuwa wewe huwajali wateja wako hapana ni ushauri tu na kutafuta mbinu mbadala yakukuza biashara yako mana hutokuja kuajiriwa milele muhimu kuwa na biashara yakoSiku hizi biashara zina competition sana unakuta sehemu mmoja biashara zipo kama sita zinafanana mauzo yanakuwa chini wateja wachache unakuta siku nzima umeingiza buku 5 mpaka 7 sasa hapo kuna faida kweli na bado hujatoa gharama na matumizi binafsi. Biashara inachangamoto nyingi sana