Wakuu nipo Nia panda

Wakuu nipo Nia panda

Azimio la kazi

Senior Member
Joined
Jun 7, 2023
Posts
138
Reaction score
452
Habari Wana Jf natumai wote ni wazima wa afya.

Wakuu siku ya jumatatu nilikwenda moja ya hospital apa mkoani ni ya binafsi (watu wengi wanaisifu), nilikuwa namumivu chini ya mbavu, baada ya kufanya Ultrasound majibu yakasema na nephritis yaani Figo ya kulia imevimba pamoja Nikakutwa sepsis , daktari akanipatia dawa Flucamox na Metamefac acid

Lakini kitu Cha ajabu siku ya Jana, ni kaenda hospital ya rufaa ya mkoa ku japo maumivu yalikuwa yamepunguwa daktari akashauri nifanye ultrasound Lakini kitu Cha ajabu hadi sasa nashidwa elewa majibu yametoka yanaonesha kuwa Sina Shida yoyote

Figo, appendix na upande wote wa kulia upo sawa Kabisa

Daktari akasema may be inaweza Kuwa na ulcers, Lakn utrasound ipo vizur kabisa.


Wakuu Yani sielewi kabisa, nawaza je hospital ya kwanza ya Private walifanya ujanja au hospital ya serikali ya mkoa walikosea kupima . Kwa kweli utofauti wa vipimo huu una nishangaza Sana.
 
Habari Wana Jf natumai wote ni wazima wa afya.

Wakuu siku ya jumatatu nilikwenda moja ya hospital apa mkoani ni ya binafsi (watu wengi wanaisifu), nilikuwa namumivu chini ya mbavu, baada ya kufanya Ultrasound majibu yakasema na nephritis yaani Figo ya kulia imevimba pamoja Nikakutwa sepsis , daktari akanipatia dawa Flucamox na Metamefac acid

Lakini kitu Cha ajabu siku ya Jana, ni kaenda hospital ya rufaa ya mkoa ku japo maumivu yalikuwa yamepunguwa daktari akashauri nifanye ultrasound Lakini kitu Cha ajabu hadi sasa nashidwa elewa majibu yametoka yanaonesha kuwa Sina Shida yoyote

Figo, appendix na upande wote wa kulia upo sawa Kabisa

Daktari akasema may be inaweza Kuwa na ulcers, Lakn utrasound ipo vizur kabisa.


Wakuu Yani sielewi kabisa, nawaza je hospital ya kwanza ya Private walifanya ujanja au hospital ya serikali ya mkoa walikosea kupima . Kwa kweli utofauti wa vipimo huu una nishangaza Sana.
Mambo muhimu:
1: Ili kufikia mwafaka wa ugonjwa, maelezo yako pamoja na ukaguzi unachangia 75%-85%. Vipimo huwa ni nyongeza ya kuthibitisha au kukanusha.

2: Tiba haitegemei ukubwa wa kituo cha afya bali uelewa wa unaekutana nae kama mtoa huduma ya afya.

3: Tafsiri ya vipimo hasa man dependent/vinavyotegemea mtu. Hutegemea pia uelewa wa mhusika pamoja na teknolojia iliyopo.

Hivyo:
1: Tumia muda wako vyema unapokuwa na mtoa huduma ya afya, toa maelezo bila kubakiza kwa kufikiria hili linahusika au hili halihusiki.

Uliza mtoa huduma ya afya ameng'amua nini kulingana na maelezo yako na ukaguzi alioufanya.

2: Uliza lengo la vipimo husika unavyokwenda kufanya.

3: Pata tafsiri ya majibu yako na kopi ikiwezekana ili ukifanya second opinion wakati mwingine isikulazimu kufanya vipimo vilevile hasa kwa vile ambavyo majibu yako wazi.

4: Usipaniki unapopata majibu tofauti ya wataalamu kwa wakati mwingine ni kutokana na sababu zilizotajwa kule juu ingawa makosa yapo.

Huu ndio msingi na maana ya kuwa kuna rufaa kufuata wenye maarifa zaidi na teknolojia zaidi. Na si kumaliza kila kitu mwenyewe hata kama hukufikia mwafaka au kutoa majibu bila kuwa na uhakika hapa huwa tunakosea.

Hivyo, kama tatizo lilielekezwa ni shida kwenye figo, unaweza kufanya yafuatayo:

1: kuonana na daktari wa kawaida na akusikilize kwa makini nawe ujieleze vyema.

2: Kumuona daktari bingwa wa magonjwa ya ndani/physician ili akusikilize kwa makini kama anapatikana.

2: Kumuona daktari bingwa wa upande wa figo ili akusikilize kwa makini kama anapatikana.

3: Usiende kufanya kipimo chochote bila kupitia kwa daktari ili kupata tu majibu ya altrasound.

Nakutakia tiba njema.
 
Habari Wana Jf natumai wote ni wazima wa afya.

Wakuu siku ya jumatatu nilikwenda moja ya hospital apa mkoani ni ya binafsi (watu wengi wanaisifu), nilikuwa namumivu chini ya mbavu, baada ya kufanya Ultrasound majibu yakasema na nephritis yaani Figo ya kulia imevimba pamoja Nikakutwa sepsis , daktari akanipatia dawa Flucamox na Metamefac acid

Lakini kitu Cha ajabu siku ya Jana, ni kaenda hospital ya rufaa ya mkoa ku japo maumivu yalikuwa yamepunguwa daktari akashauri nifanye ultrasound Lakini kitu Cha ajabu hadi sasa nashidwa elewa majibu yametoka yanaonesha kuwa Sina Shida yoyote

Figo, appendix na upande wote wa kulia upo sawa Kabisa

Daktari akasema may be inaweza Kuwa na ulcers, Lakn utrasound ipo vizur kabisa.


Wakuu Yani sielewi kabisa, nawaza je hospital ya kwanza ya Private walifanya ujanja au hospital ya serikali ya mkoa walikosea kupima . Kwa kweli utofauti wa vipimo huu una nishangaza Sana.
Kwanza, pole sana Mkuu.

Pili, majibu ya Ultrasound hutegemea sana ujuzi wa Mtaalam pamoja na ubora wa kifaa husika. Hivyo, mara kadhaa hutokea kutofautiana kati ya sehemu moja na nyingine. Wakati pia una nafasi ya kuamua.

Tatu, maelezo yako yana nafasi kubwa sana katika kung'amua na hata kumuelekeza daktari kutambua ni tatizo gani haswa linakusibu.

Baada ya kipimo cha Ultrasound, daktari alipaswa kuhusisha alichokiona na dalili ulizozionesha kabla ya kufikia tamati kuwa unaumwa ugonjwa huo. Kama maelezo yako yanashabihiana na dalili ulizotaja basi anahitimisha.

Nne, labda nikuulize wewe nini haswa kilikushawishi kwenda kuangalia tena hospital nyingine? Bila shaka kuna sababu ambayo huenda haikukuridhisha. Weka tuizingatie.

Tano, chanzo cha maumivu yako haswa ni kipi? Ulilala sehemu nzuri? Ulifanya mazoezi hivi karibuni? Kama hakuna baina ya tajwa hapo juu, basi sababu ya maumivu yako lazima yawepo.

Kama kwenye Uchunguzi wa hospital ya rufaa haikuonyesha basi kuna kila uwezekano ilishaanza kupotea. Sepsis ambayo siyo serious huanza kupotea hata ndani ya masaa 48.

Bila shaka taasisi unazozizungumzia ni Malolo Hosp na Kitete Referral.
 
Kwanza, pole sana Mkuu.

Pili, majibu ya Ultrasound hutegemea sana ujuzi wa Mtaalam pamoja na ubora wa kifaa husika. Hivyo, mara kadhaa hutokea kutofautiana kati ya sehemu moja na nyingine. Wakati pia una nafasi ya kuamua.

Tatu, maelezo yako yana nafasi kubwa sana katika kung'amua na hata kumuelekeza daktari kutambua ni tatizo gani haswa linakusibu.

Baada ya kipimo cha Ultrasound, daktari alipaswa kuhusisha alichokiona na dalili ulizozionesha kabla ya kufikia tamati kuwa unaumwa ugonjwa huo. Kama maelezo yako yanashabihiana na dalili ulizotaja basi anahitimisha.

Nne, labda nikuulize wewe nini haswa kilikushawishi kwenda kuangalia tena hospital nyingine? Bila shaka kuna sababu ambayo huenda haikukuridhisha. Weka tuizingatie.

Tano, chanzo cha maumivu yako haswa ni kipi? Ulilala sehemu nzuri? Ulifanya mazoezi hivi karibuni? Kama hakuna baina ya tajwa hapo juu, basi sababu ya maumivu yako lazima yawepo.

Kama kwenye Uchunguzi wa hospital ya rufaa haikuonyesha basi kuna kila uwezekano ilishaanza kupotea. Sepsis ambayo siyo serious huanza kupotea hata ndani ya masaa 48.

Bila shaka taasisi unazozizungumzia ni Malolo Hosp na Kitete Referral.
Kaka we ni jasusi
 
Ultrasound results ni operator-dependant. You'll only see what your mind knows.
 
Pole.

Ma doctors wetu ndo hao hao sometimes nao wana stress and more times there are there tu.

Usitumie sukari wala soda pia, ukiweza acha na pombe.

Utakuwa sawa.
 
Kabisa....Kuna jamaa baada ya kusoma mitandaoni kuhusu tezi dume.....akaenda kwenye zahanati na kutoa maelekezo namna ya kufanyiwa kipimo🙂wahudumu wa afya walista ajab.....
KWA KIFUPI TEZI DUME HUWEZA KUPIMWA KWENYE NJIA YA HAJA MZITO"KUBWA"
 
Habari Wana Jf natumai wote ni wazima wa afya.

Wakuu siku ya jumatatu nilikwenda moja ya hospital apa mkoani ni ya binafsi (watu wengi wanaisifu), nilikuwa namumivu chini ya mbavu, baada ya kufanya Ultrasound majibu yakasema na nephritis yaani Figo ya kulia imevimba pamoja Nikakutwa sepsis , daktari akanipatia dawa Flucamox na Metamefac acid

Lakini kitu Cha ajabu siku ya Jana, ni kaenda hospital ya rufaa ya mkoa ku japo maumivu yalikuwa yamepunguwa daktari akashauri nifanye ultrasound Lakini kitu Cha ajabu hadi sasa nashidwa elewa majibu yametoka yanaonesha kuwa Sina Shida yoyote

Figo, appendix na upande wote wa kulia upo sawa Kabisa

Daktari akasema may be inaweza Kuwa na ulcers, Lakn utrasound ipo vizur kabisa.


Wakuu Yani sielewi kabisa, nawaza je hospital ya kwanza ya Private walifanya ujanja au hospital ya serikali ya mkoa walikosea kupima . Kwa kweli utofauti wa vipimo huu una nishangaza Sana.
Wale BRN ndio wapo maofisini kwa sasa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza, pole sana Mkuu.

Pili, majibu ya Ultrasound hutegemea sana ujuzi wa Mtaalam pamoja na ubora wa kifaa husika. Hivyo, mara kadhaa hutokea kutofautiana kati ya sehemu moja na nyingine. Wakati pia una nafasi ya kuamua.

Tatu, maelezo yako yana nafasi kubwa sana katika kung'amua na hata kumuelekeza daktari kutambua ni tatizo gani haswa linakusibu.

Baada ya kipimo cha Ultrasound, daktari alipaswa kuhusisha alichokiona na dalili ulizozionesha kabla ya kufikia tamati kuwa unaumwa ugonjwa huo. Kama maelezo yako yanashabihiana na dalili ulizotaja basi anahitimisha.

Nne, labda nikuulize wewe nini haswa kilikushawishi kwenda kuangalia tena hospital nyingine? Bila shaka kuna sababu ambayo huenda haikukuridhisha. Weka tuizingatie.

Tano, chanzo cha maumivu yako haswa ni kipi? Ulilala sehemu nzuri? Ulifanya mazoezi hivi karibuni? Kama hakuna baina ya tajwa hapo juu, basi sababu ya maumivu yako lazima yawepo.

Kama kwenye Uchunguzi wa hospital ya rufaa haikuonyesha basi kuna kila uwezekano ilishaanza kupotea. Sepsis ambayo siyo serious huanza kupotea hata ndani ya masaa 48.

Bila shaka taasisi unazozizungumzia ni Malolo Hosp na Kitete Referral.
Sasa mkuu septicemia inaweza sababisha nephritis? Na je kama sepsis ipo treated early nephritis inaweza return normal.
 
Back
Top Bottom