wakuu nisaidieni kwa hili maana linanipa tabu sana!

wakuu nisaidieni kwa hili maana linanipa tabu sana!

TEHE TEHE TEHE kaka punguza munkari...... natumaini somo limemfikia.. ila pengine alikuwa anatafuta stepping stone c unajua kibongobongo.... anyway apewe nafASI
ni kweli wana retain waalimu ila tunawaona na tunawafahamu wenzetu wengi tu wanahama toka wizara moja kwenda nyingine mfano mwalili kama ni TAMISEMI huwa naona kana ni rahisi sana kuhama idara moja kwenda nyingine sababu mwajili ni mmoja ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa wilaya kwa kimombo wanaita DED yaani District Excutive Director!
 
Uwezekano wa kuhama upo ili mradi tu uwe na vigezo vinavyohitajika. Ndani ya wizara kuna mpango umerudishwa (re-categorization). Nakushangaa sana unaposema kuna degree ambayo haina education ndani yake, umeisomaje? Mwallimu aliyekufundisha kafundishwa na nani? Think Big "fella". Kuwa msomi ni pamoja na kupambana na challenges kama hizo. Ndani ya wizara kuna vitengo ama kitengo kinachoendana na profession yako tatizo ni kuwa viko occupied, so look into other industries na si lazima upate government coz kuna private sector zinakuhitaji ila hujui tu.
 
Quot: .........nyie si ndio akina mkoba nyie................


We AK huyo "mkoba" alishakufa (RIP)
 
Back
Top Bottom