Wakuu physics inatanua ubongo

Wakuu physics inatanua ubongo

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Kwa wale mnaopenda kuelewa na kuchunguza mambo, hasa hasa kama ulisoma physics advance,

Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu, hii ndio starehe yangu, ila sikuwahi kujua kuwa PHYSICS ni somo tamu sana maana nilikuwa nikilisoma kwa kukalili ilimradi nifaulu tu,

Basi juzi kati nimemkuta dogo mmoja ameshikilia kitabu cha physics maarufu kama ABBOT (niliwahi kukitumia enzi hizo ila kimagumashi kwa kukalili na kusolve vijimaswali) nilimuomba akaniazimisha nkawa nmehamasika kujua betri inatengenezwa vipi, na inafanyaje kazi,

Aisee nmejikuta nasoma karibia kitabu chote kuanzia current electricity, wave motion, light, electromagnetism n.k
Dogo kachukua kitabu chake nkaona isiwe tabu acha nizame mtandaoni nkapakua kitabu kimoja kinaitwa UNIVERSITY PHYSICS AND MODERN PHYSICS,

Nnmeanza na topic inaitwa ELECTRIC CURRENT yaani wakuu it is very interesting kitabu kinanihamasisha nisome zaidi na zaidi 😄😄😄 alafu kumbe kutengeneza umeme au betri sio kazi ngumu endapo utakuwa na material kidogo pamoja na kemikali,

Wakuu hebu jaribuni kusoma tena physics it is very interesting.
 
Tuma hizo softcopy tusome kwanza na sisi wa hkl tunaweza kuwa wataalamu wa kugundua dawa ya kuondosha umaskini wa nchi yetu kwa kubalansi ma equation
Mkuu ingia zip library ujichagulie kuna vitabu kama vyote yaani ushindwe mwenyewe tu
 
Dah Safi sana, mimi nasoma vitabu vinavyo husu wanawake ili nipate akili ya Kuishi nao
Vitabu vya wanawake nimesoma sana sana sana 😄😄😄😄 enzi hizo ujana mwingi, nmesoma vya kuwatongoza, kuishi nao na kushawishi
Mfano
  • Seduction by Robert Green
  • Men are from Mars women are from venus
  • Covert persuation technique
  • Alpha male
  • Dark psychology and manipulation
  • An introduction to NLP technique
  • Brainwashing and propaganda
  • Body language
  • Verbal judo
Tulikotoka wewe ndio unakokwemda
 
Uko bado Sana dogo Tafuta chandii uko mambo easy Tafuta chandii kiko more advanced
Mkuu usinikosee heshima 😃
Chand one na Chand two kitambo sana,

Now najisomea kwa kuongeza maarifa tu ndio maana nkachagua kitabu cha UNIVERSITY PHYSICS, kama unataka kuelewa bulb inawakaje, umeme unafikaje kwenye bulb n.k rudi usome tena utaenjoy
 
"Physics sio makalio kwamba kila binadamu anayo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemkumbka sir wa somo husika advance. Lol
Nimekuja kugundua wanafunzi wanaiona physics ni ngumu kwa sababu walimu wenyewe hawaielewi, na haonwanafunzi wakipata division three wanaenda kusomea ualimu wa physics na wao watawafundisha wanafunzi kimagumashi cycle inaendelea,

Lakini wanafunzi wangekuwa wanafundishwa na watu wanaoielewa physics mbona wangelipenda somo,

Mfano mimi enzi hizo nasoma mwalimu alifundisha topic moja tu mwaka mzima
 
What is physics?
Physics is the study of mater in relation to energy,

Zamani maphilosopher walikuwa wanasoma vitu vyote kwa pamoja mfano physical things and biological organisms, ambapo hivi vyote vimeundwa na mater,

Baadae wakaamua kuvitenganisha into physics and biological science,
Kwahiyo tunaposema physics maana yake unastudy physical bodies mfano uhusiano wa dunia kulizunguka jua n.k
 
Baada ya kumaliza shahada yangu ya uhandisi sasa hivi siwazi kusoma kitu kingine zaidi ya sheria tu,natumia mda mwingi kuongeza maarifa kwenye sheria Labor law ,Tax Law na masheria mengine mengi .
Mkuu engineering ni practical physics, nijuavyo mimi kila mtu husoma kitu kinacho mpa motivation kwa wakati huo, elimu haina mwisho mkuu
 
Back
Top Bottom