OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
-
- #41
Ndio mkuu ukishazoea kila kitu kinawezekanaKwa hiyo unasoma tu kama kitabu cha history na nondo zina stick tu easily! nipe link ni download na mimi nisome tu kama wewe.
Hachana na mavyuo ya bongo,ma lecturer wana wivu sana walimdisco Kadege yule mbabe wa Linguistic alipojaribu kusoma Law pale UDSM.Kama unataka kusoma certificate yapo mavyuo kibao South Africa au nje ya nchi yanatoa mpk online certificates.We have the same passion bro.. Hapa Bongo kuna Chuo gani kinatoa angalau cheti cha sheria .. masomo kwa Njia ya Mtandao.
Mkuu hebu kidownload hicho kitabu usome it is very interestingSitaki kukumbuka mziki wa phys mie khaah, nusu niwe chizi wallah, unakomaa wee class na prepo, plus tuit ila ndan ya pepa inakukana daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
But JAH mkubwa na alikua upande wangu nlifanikiwa kutusua final pepa, now napamban level nyingne.
Phys ya advance hapana, [emoji119][emoji119][emoji119]
1.Theophilo Kisanji universityWe have the same passion bro.. Hapa Bongo kuna Chuo gani kinatoa angalau cheti cha sheria .. masomo kwa Njia ya Mtandao.
Unakuta darasa lina wanafunzi 190 alafu kila mwanafunzi anandoto ya kuwa daktari ππUmenikumbusha enzi za PCB
Hiyo comb nlifaulu ila sikutaka uDK nikaishia kuwa HRUnakuta darasa lina wanafunzi 190 alafu kila mwanafunzi anandoto ya kuwa daktari [emoji1][emoji1]
Mr HR una connection ? πHiyo comb nlifaulu ila sikutaka uDK nikaishia kuwa HR
Hapana mkuuMr HR una connection ? [emoji6]
Nakuelewa sana bro.. Fresh saana..Hachana na mavyuo ya bongo,ma lecturer wana wivu sana walimdisco Kadege yule mbabe wa Linguistic alipojaribu kusoma Law pale UDSM.Kama unataka kusoma certificate yapo mavyuo kibao South Africa au nje ya nchi yanatoa mpk online certificates.
Teenaaah mnakua na nongwa class lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu gani mkuu. Wakujidai kuijua physics?[emoji3][emoji3]
Yes nitafanya hvyo piaa.Mkuu hebu kidownload hicho kitabu usome it is very interesting
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Physics ni simple lakini mpaka ufundishwe na mwalimu muelewa sio aliemeza formula tu.
Kweli maana inawezekana mwalimu mwenyewe kameza madude tu sasa unazani utaelewa kweli, pia wapo watu wanatoka na A za phys hao wanaelewa sio kumeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nongwa zinatoka wapi advance wakati hata muda wa kusoma hautoshi? Unatuonea. Tena huwa tukadiscuss na kusolve maswali na watu wote.Teenaaah mnakua na nongwa class lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kila mwanafunz yuko hivyo, wengne nongwa hatareeh,Nongwa zinatoka wapi advance wakati hata muda wa kusoma hautoshi? Unatuonea. Tena huwa tukadiscuss na kusolve maswali na watu wote.
Yes ni kweli.Kweli maana inawezekana mwalimu mwenyewe kameza madude tu sasa unazani utaelewa kweli, pia wapo watu wanatoka na A za phys hao wanaelewa sio kumeza
Ongera Sana kwa kuwa motivation speaker wa physics hukiachana na yule wa matikiti π jitahidi uwe kama Albert Einstein wa kibongoπππKwa wale mnaopenda kuelewa na kuchunguza mambo, hasa hasa kama ulisoma physics advance,
Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu, hii ndio starehe yangu, ila sikuwahi kujua kuwa PHYSICS ni somo tamu sana maana nilikuwa nikilisoma kwa kukalili ilimradi nifaulu tu,
Basi juzi kati nimemkuta dogo mmoja ameshikilia kitabu cha physics maarufu kama ABBOT (niliwahi kukitumia enzi hizo ila kimagumashi kwa kukalili na kusolve vijimaswali) nilimuomba akaniazimisha nkawa nmehamasika kujua betri inatengenezwa vipi, na inafanyaje kazi,
Aisee nmejikuta nasoma karibia kitabu chote kuanzia current electricity, wave motion, light, electromagnetism n.k
Dogo kachukua kitabu chake nkaona isiwe tabu acha nizame mtandaoni nkapakua kitabu kimoja kinaitwa UNIVERSITY PHYSICS AND MODERN PHYSICS,
Nnmeanza na topic inaitwa ELECTRIC CURRENT yaani wakuu it is very interesting kitabu kinanihamasisha nisome zaidi na zaidi πππ alafu kumbe kutengeneza umeme au betri sio kazi ngumu endapo utakuwa na material kidogo pamoja na kemikali,
Wakuu hebu jaribuni kusoma tena physics it is very interesting.
AU SIOO....MKALIII...We endelea kusoma hiyo physxKwa wale mnaopenda kuelewa na kuchunguza mambo, hasa hasa kama ulisoma physics advance,
Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu, hii ndio starehe yangu, ila sikuwahi kujua kuwa PHYSICS ni somo tamu sana maana nilikuwa nikilisoma kwa kukalili ilimradi nifaulu tu,
Basi juzi kati nimemkuta dogo mmoja ameshikilia kitabu cha physics maarufu kama ABBOT (niliwahi kukitumia enzi hizo ila kimagumashi kwa kukalili na kusolve vijimaswali) nilimuomba akaniazimisha nkawa nmehamasika kujua betri inatengenezwa vipi, na inafanyaje kazi,
Aisee nmejikuta nasoma karibia kitabu chote kuanzia current electricity, wave motion, light, electromagnetism n.k
Dogo kachukua kitabu chake nkaona isiwe tabu acha nizame mtandaoni nkapakua kitabu kimoja kinaitwa UNIVERSITY PHYSICS AND MODERN PHYSICS,
Nnmeanza na topic inaitwa ELECTRIC CURRENT yaani wakuu it is very interesting kitabu kinanihamasisha nisome zaidi na zaidi [emoji1][emoji1][emoji1] alafu kumbe kutengeneza umeme au betri sio kazi ngumu endapo utakuwa na material kidogo pamoja na kemikali,
Wakuu hebu jaribuni kusoma tena physics it is very interesting.