Wakuu tujulishane tusiyoyajua kuhusu shule za jinsia moja

Nngekuwa na mamlaka nngezifuta single sex xcul mana ni chanzo cha wasagaji na mashoga....Binafsi nmesoma shule uboyizin ila sikufanikiwa kumaliza nilifukuzwa kwa tabia ya kuruka ukuta kwenda kijijin kutafuta mademu ....
 
Msinikumbushe mademu wa Loleza.
Mademu wana nyege hadi wanaumwa ugonjwa wa kucheka, Iyunga sekondari, shule ya wavulana watupu , vijana wana ugwaduuu, akiingia mwalimu wa kike, daraja Zima wanasimamisha minara yao
[emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magepu yalnifundsha magoli ya mikono [emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]

Uboyzn enzi hizo watu wanapiga puli live live wanashndanishwa nani itaruka mbali

Hahaahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hayo ndio madhara ya washroom za pamoja.

Ila sitasahau utamu wa bao la ugumu wa pepa....
 
Duh! Hapana aisee kwanza kuna mmoja alikuja room sikumoja nimenyali nisoma peke yangu. Alinisumbua kidogo nilie kwakweli sikuwa namuona kama binadamu wa kawaida. Nilimuona kama jini vile
Ungenipigia simu ASAP nije nikuokoe.
 
Aise. .Hizi boarding school zinezalisha mashoga na wasagaji wengi sana
Aisee mi nilifika A'level nikiwa bado fala kabisa. Kuna majamaa walikuwa ni mashoga na sikuwa najua. Yaani ndo kwa mara ya kwanza naona mwanaume anaAct as a girl.
 
kalaliche unamfahamu
 
Kichwa cha habar kiswahili lakin content kingereza.... We n mswahili eehh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…