Wakuu tusaidiane hapa

Wakuu tusaidiane hapa

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Wakuu nina ndugu yangu ana kisukari mwaka wa tano sasa toka agundue kuwa ana huo ugonjwa

Afya yake kimuonekano yuko poa kabisa huwa anatumia sindano na dawa lakini tunatafuta kama kuna uwezekano wa kutibu akapona kabisa

Wakuu humu kuna siku katika kusoma comments mbalimbali nilipata kusoma ya mdau akisema kuna hospital ya wachina hapa dar iko vizuri kwa huo ugonjwa

Naomba anaefahamu zaidi atolee ufafanuzi au kama kuna sehemu nyingine anielekeze, namuonea huruma ndugu yangu kwani huu ugonjwa umechukua wengi nikishuhudia kwa macho yangu

Natanguliza shukrani wakuu
 
Kama yupo fit Amshukuru Mungu na aendelee kutumia dawa.

Dmsema mwamposa nae ana mkesha leo mlete...
 
Kama yupo fit Amshukuru Mungu na aendelee kutumia dawa.....


sema mwamposa nae ana mkesha leo mlete...
Una ndugu yako aliewahi kupona huko mkuu
 
Wakuu nina ndugu yangu ana kisukari mwaka wa tano sasa toka agundue kuwa ana huo ugonjwa

Afya yake kimuonekano yuko poa kabisa huwa anatumia sindano na dawa lakini tunatafuta kama kuna uwezekano wa kutibu akapona kabisa

Wakuu humu kuna siku katika kusoma comments mbalimbali nilipata kusoma ya mdau akisema kuna hospital ya wachina hapa dar iko vizuri kwa huo ugonjwa

Naomba anaefahamu zaidi atolee ufafanuzi au kama kuna sehemu nyingine anielekeze, namuonea huruma ndugu yangu kwani huu ugonjwa umechukua wengi nikishuhudia kwa macho yangu

Natanguliza shukrani wakuu
Huko kwa tiba mbadala asee kwa haya magonjwa sio salama sana kwa maoni yangu nashauri aendelee kufuata ushauri wa kitaalamu na kujitahid kuishi health promotion life
 
Una ndugu yako aliewahi kupona huko mkuu
Bahati mbaya sijawahi kupata Ushuhuda kutoka kwa mtu wangu wa karibu ila nikiwa nyumbani TZ napenda kwenda pale kujifunza mambo mbali mbali


Imani ndio nguzo kuu ya maisha
 
Bahati mbaya sijawahi kupata Ushuhuda kutoka kwa mtu wangu wa karibu ila nikiwa nyumbani TZ napenda kwenda pale kujifunza mambo mbali mbali


Imani ndio nguzo kuu ya maisha
Sometimes imani inaua yaani uamini umepona kwa maji ya upako wakati ukipima ngoma bado inasoma? Mkuu sikupingi ila kwa mwamposa ni big no
 
Huko kwa tiba mbadala asee kwa haya magonjwa sio salama sana kwa maoni yangu nashauri aendelee kufuata ushauri wa kitaalamu na kujitahid kuishi health promotion life
Tunatafuta sehemu ya kuponea atachoma sindano maisha yake yote
 
Back
Top Bottom