kufatana na agizo la mheshimiwa rais la kurudisha pesa za posho walizolipwa wakurungezi wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya pamoja na viongozi wa serikali wamehoji kwanini warudishe pesa hizo wakati wametumia kwenye maandalizi mbalimbali hii imetokea leo kuanza kulalamika wakuu hao na kusema wao hawapaswi kulaumiwa maana walipokea maagizo na pesa hizo juu walidai kuwa tayari watumishi hao walikuwa wameanza safari na wengine kufanya maandalizi ya kwenda kuhudhuria mwaliko huo watendaji hao wameonyesha kutolizishwa na hali hii ya utendaji ambayo ipo sasa.
Source.viongozi waliofika eneo la tukio na wale walioko ofisini kulalamika mbele za watumishi wenzake .
Kutolizishwa ndiyo kitu gani???? Au una maana ya kutoridhishwa/kutoridhika????? Pamoja na hayo kuna kila dalili kuwa taarifa hii ni ya kutunga tu na haina ukweli wowote....