Wakuu wa Mikoa wengi wamejaa woga

Wakuu wa Mikoa wengi wamejaa woga

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Watumishi wengi wa umma ni watu waliojariwa kwa vimemo wengine ni mahawara wa viongozi ,watoto wa viongozi, wapwa wa viongozi, watoto wa mahawara wa viongozi, mashemeji, wajukuu na marafiki.

Hii imepelekea wengi wa wateuliwa kufanya kazi kwa wasiwasi na woga wa kuharibu, kuogopa kuwagusa hao(untouchable) watumishi wezi watoto wa masulutan.

Ndio maana jitu linaiba linaandikiwa barua lijieleze lilikwapuaje hizo pesa na bado kakalia kiti!

Ni woga tu wa wateule fanyeni kazi lawama zitawakuta wakati mmeshafyeka wezi majizi na wabadhirifu wa maendeleo , wao wanajipigia lawama kwa wateuliwa wanaonekana hawafanyi kitu ni vizuri sana bwana Makonda kaligundua hilo anawatandika round kick tu na mitama ya shingo pigeni kelele mpaka kwa wizi hauonekani!

Hata ukiliwa kichwa kwa muda mchache umewahenyesha na wamenyooka na kujikojolea!
 
Public bureaucracy ikisomwa vizuri huu ujinga mnaojaza humu hautakuwepo
Mambo yenu ya kusoma ndio yanazaa mafisadi na minyororo ya wizi jitu limekwiba halisimamishwi kupisha uchunguzi!
 
Wengi hawajui wajibu wao, kitendo tu cha kujua wewe ni raisi wa hiyo sehemu basi chapa kazi kama Makonda. Yeye Makonda anatambua wazi kuwa yeye ni "Samia " wa Arusha.
 
Watumishi wengi wa umma ni watu waliojariwa kwa vimemo wengine ni mahawara wa viongozi ,watoto wa viongozi, wapwa wa viongozi ,watoto wa mahawara wa viongozi, mashemeji ,wajukuu na marafiki...
You mean wamekuwa chawa? Well this has been going on since uhuru
 
Asijifiche kwenye wema wakati ni muuaji.
Hizo sifa nyingine watu hawazijui wanaangalia utendaji zaidi ndio maana mmebaki na propaganda mfu ukiambiwe utoe ushahidi utambwembwela!
 
Shida kubwa tuliyonayo ni kuwa wote wa kuteuliwa hawajui muda wa kuwajibika kwa wananchi na muda wa kuwajibika ki chama. Kwa maneno mengine wangekuwa na wa kupigiwa kura haya mambo yangekuwa yameisha siku nyingi.
 
Hizo sifa nyingine watu hawazijui wanaangalia utendaji zaidi ndio maana mmebaki na propaganda mfu ukiambiwe utoe ushahidi utambwembwela!
Lissu kaongelea jukwaani hadharani kuna Mbwa yeyote kaomba ushahidi?!
 
Back
Top Bottom