chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Mkuu ameshatoa agizo watu wachape kazi, yeye mwenyewe havai barakoa.
Sasa kuna ofisi za umma zinanyima huduma wananchi kisa hawajavaa barakoa, hawa wafutwe kazi.
Jaji Mkuu na majaji wenzake na mahakimu wametengeneza genge la ulaji, wananunua TV kama wamechanganyikiwa, huu ni ufisadi mkubwa, eti wanazitumia kusikiliza kesi, ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi wakati mahakama nyingi hazina vyumba.
Kuna mahakama ambazo wanapiga tarehe juu kwa juu, tena kupitia karani.
Ofisi za umma ziache ubabaishaji, hapa kazi tu.
Sasa kuna ofisi za umma zinanyima huduma wananchi kisa hawajavaa barakoa, hawa wafutwe kazi.
Jaji Mkuu na majaji wenzake na mahakimu wametengeneza genge la ulaji, wananunua TV kama wamechanganyikiwa, huu ni ufisadi mkubwa, eti wanazitumia kusikiliza kesi, ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi wakati mahakama nyingi hazina vyumba.
Kuna mahakama ambazo wanapiga tarehe juu kwa juu, tena kupitia karani.
Ofisi za umma ziache ubabaishaji, hapa kazi tu.