Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
EmHabarini. Naomba kufahamu mtu mwenye cheo cha mkuu wa wilaya analipwa pesa ngapi kwa mwezi. natanguliza shukrani?
Kumbe wanakula parefu. Na wengi marupurupu ndiyo zaidi.Mil 5
Kwenye salary baada ya makatomakato ya hapa na pale hicho kiasi kinashuka. Ila kinafidiwa sasa na posho kadhaa vikao vya hapa na pale. Ziara n.kKumbe wanakula parefu. Na wengi marupurupu ndiyo zaidi.
Mkuu wa wilaya hana kato lolote.Kwenye salary baada ya makatomakato ya hapa na pale hicho kiasi kinashuka. Ila kinafidiwa sasa na posho kadhaa vikao vya hapa na pale. Ziara n.k
Kumbe. Bima nayo wanapewa bure Kuna watu wanakula nchi..Mkuu wa wilaya hana kato lolote.
Kwenye salary baada ya makatomakato ya hapa na pale hicho kiasi kinashuka. Ila kinafidiwa sasa na posho kadhaa vikao vya hapa na pale. Ziara n.k