Tuheshimiane mkuuTulia wewe.
Aisee!Tuheshimiane mkuu
Huyu kiumbe kanivulugia siku yangu leo huwa sipendi kumuandikia mtu lugha mbaya kwa Kigezo niko nyuma ya jina fekiAisee!
enzi za wasanii waliokuwa wanaigiza pamoja na ABIOLA kama walivyotajwa hapo wewe ulikuwa unanyonya sasa utamjuaje.. mfano nyama yao .. seki.. kibakuli.. unawajua hawa?Hakuna anaemfahamu huyo Abiola wako ndugu.... Fanya kazi wacha story
Mim nimezaliwa 1947, Sasa sijui hoja yako imelalia wapi,enzi za wasanii waliokuwa wanaigiza pamoja na ABIOLA kama walivyotajwa hapo wewe ulikuwa unanyonya sasa utamjuaje.. mfano nyama yao .. seki.. kibakuli.. unawajua hawa?
acha kujifanya.......😕
alafu JF ndo umeiona 2015 ulibemendwa auMim nimezaliwa 1947, Sasa sijui hoja yako imelalia wapi,
afu unaonekana binti mrembo sana.. unafaa yale mambo yetuMim nimezaliwa 1947, Sasa sijui hoja yako imelalia wapi,
wapi Nicetas? jamaa kavimba mwili utadhani ana kwashiorkor... nywele njanooo tumbo ndo usiseme......Sio Abiola mkuu , aende Yombo Dovya uwanja wa makaburi ya city jirani na pale ndo kwao
Tena ukifika utaona sura za wadogo zake, wamefanana sura na mwili
Mm sijawahi kumvunjia mtu heshima, tujaribu kuelewa nini maana ya demokrasia, nini maana ya freedom of speech..afu unaonekana binti mrembo sana.. unafaa yale mambo yetu
Na Bishanga! Dogo hawezi kuwajuaenzi za wasanii waliokuwa wanaigiza pamoja na ABIOLA kama walivyotajwa hapo wewe ulikuwa unanyonya sasa utamjuaje.. mfano nyama yao .. seki.. kibakuli.. unawajua hawa?
acha kujifanya.......😕
Umenikumbusha mbali sana 'bishanga' yupo wap huyu jamaa walikuwa na igizo lao sijui itv pale nimelisotea sana kipindi hiko nakua,Na Bishanga! Dogo hawezi kuwajua
Abiola ana kituo cha daladala Yombo MakangaraweMie namkumbuka mwigizaji kwenye kifuatacho itv, akiwa na sekiojo na akina nyamayao, max, bambo, Nani Anajua Alipo Kwa Sasa Abiola?
Mbona huyo alishafariki mda tu..kuna sehemu kaacha jina kule yombo panaitwa AbiolaMie namkumbuka mwigizaji kwenye kifuatacho itv, akiwa na sekiojo na akina nyamayao, max, bambo, Nani Anajua Alipo Kwa Sasa Abiola?
JF ina wazushi wengi. Mlimzushia muda mrefu kuwa kafariki kumbe alikuwa bado yupo hai na kafariki wiki hii.Mbona huyo alishafariki mda tu..kuna sehemu kaacha jina kule yombo panaitwa Abiola
Sana amefariki juzi kama sikoseiJF ina wazushi wengi. Mlimzushia muda mrefu kuwa kafariki kumbe alikuwa bado yupo hai na kafariki wiki hii.
Duh.. inna lillahiJF ina wazushi wengi. Mlimzushia muda mrefu kuwa kafariki kumbe alikuwa bado yupo hai na kafariki wiki hii.