Wakuu yuko wapi msanii Abiola?

Sio Abiola mkuu , aende Yombo Dovya uwanja wa makaburi ya city jirani na pale ndo kwao
Tena ukifika utaona sura za wadogo zake, wamefanana sura na mwili
wapi Nicetas? jamaa kavimba mwili utadhani ana kwashiorkor... nywele njanooo tumbo ndo usiseme......
 
afu unaonekana binti mrembo sana.. unafaa yale mambo yetu
Mm sijawahi kumvunjia mtu heshima, tujaribu kuelewa nini maana ya demokrasia, nini maana ya freedom of speech..

Naona wewe unajaribu kufanya kitu ambacho kipo nje ya misingi ya jf... Heshima haitoswi kodi popote pale duniani...
 
Doh! umenikumbusha huyu anaitwa mashaka matongo jamaa allishirikiana sana na kina JB ,natasha, seki yaani kundi la mambo hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…