Naona jamaa nae huyu demu kamfanya awe mvivu siku hizi mziki hauchukulii serious kama zamani au sijui ndio nae anadanga.Wale Wakwe za kijana wetu huko Kwa majirani zetu kwa tuhuma za kukwepa kodi za Mabilioni. Namuona kijana akirudisha timu bongo kimya-kimya. Uzi tayari
Sponsor ndo anasakwa na DPP wa Kenya. Tarajia akili kumrudia kijanaNaona jamaa nae huyu demu kamfanya awe mvivu siku hizi mziki auchukulii serious kama zamani au sijui ndio nae anadanga.
Hahaha...nyie watu bhana.Hapo ndo wakenya watamjua mbongo vizuri. Watashuhudia vumbi tu
Mgogo na tabu wapi na wapi?Hahaha...nyie watu bhana.
Kwamba mwana atapotea hatari hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23]Mgogo na tabu wapi na wapi?
Atachimba kama hawajui. HawataaminiBernard atajua hajui.
Hapo ndo wakenya watamjua mbongo vizuri. Watashuhudia vumbi tu
Ben Pol kani-disappoint sana! Yale yale waliyokuwa wamefanya akina Rachel baada ya kupata bwana wa Kiarabu, ndiyo anayafanya mwanaume mzima Ben Pol! Yaani tayari ameshaufanya muziki kwake ni hobby na sio kazi tena!! Ngoja aanze kulambwa vibao huko, ndo atakuja kujua heshima ya mwanaume ni kazi hata kama ni ya kusukuma mkokoteni na sio pesa ya mwanamke!Naona jamaa nae huyu demu kamfanya awe mvivu siku hizi mziki hauchukulii serious kama zamani au sijui ndio nae anadanga.
Naamini atakuwa kakuelewa mpaka sasa atakua anawinda danga lingine South Sudan au CongoBernad bernad popote ulipo embu fungasha urudi nyumbani kwanza mpaka hapo hali ukweni itakopotulia ndio urudi hao jamaa awachelewi kukuweka korokoroni huko
Itabidi LeTumboz amsaidie jinsi ya kuwaambia WatanzaniaBen Pol ataambia nini watanzania?[emoji3]