Wakwe za Beni Pol Matatani! Wasakwa Kenya Nzima

Umeanza lini kumfuatilia Ben Pol?! Hivi unaelewa maana ya kufanya muziki kama kazi na kufanya muziki kama biashara?!
Najua possible unauelewa mkubwa sekta hio,ila unauelewa wa mahusiano.
Ben lazima atachange tu,sio yy tu angalia wasanii wte wanaoingia kwny mahusiano mazto ,utagundua anachoptia ben wameptia kila mtu.
Family inachange watu
 
Najua possible unauelewa mkubwa sekta hio,ila unauelewa wa mahusiano.
Ben lazima atachange tu,sio yy tu angalia wasanii wte wanaoingia kwny mahusiano mazto ,utagundua anachoptia ben wameptia kila mtu.
Family inachange watu
Chibu mbona hajabadilika pamoja na kuwa na Project ya East Africa Got Pregnant?
 
Najua possible unauelewa mkubwa sekta hio,ila unauelewa wa mahusiano.
Ben lazima atachange tu,sio yy tu angalia wasanii wte wanaoingia kwny mahusiano mazto ,utagundua anachoptia ben wameptia kila mtu.
Family inachange watu
Hilo la ku-change ndo hofu yangu mimi kwa sababu, kwanza Ben kaanza kufanya music as a luxury a moment alivyoanza ku-date na yule mwanamke! Mbona Konde Boy na ushamba wake wote ule hakuzuzuka na Mzungu na kumfanya augeuze muziki kama luxury?!

Halafu doa ya Ben Pol na mke wake, ni tofauti kabisa, mathalani na ndoa ya Marlaw na Besta!! Leo hii kati ya Marlaw na Besta wakiachana hakuna wa kumfungia virago mwenzake! Kinyume chake, ingawaje hatuombei mabaya kwenye uhusiano wao, leo hii Ben na huyo mwanamke wakiachana itakuwa ni Ben ndie anafungashiwa virago!! Na ndio maana hapo juu nikatoa mfano wa Gardner na Lady Jay Dee!! Mwanaume isikutie upofu pesa ya mwanamke cuz pesa ya mwanamke always itabaki kuwa ya mwanamke tu! Na kama pesa yenyewe ni ya familia ndo kabisa! Sitaisahau Jide alivyomkejele Gardner kwenye wimbo wake! Yaani akasahau mchango wote wa Gardner kwenye muziki wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…