Tegemezi KonkiTegemezi
Najua possible unauelewa mkubwa sekta hio,ila unauelewa wa mahusiano.Umeanza lini kumfuatilia Ben Pol?! Hivi unaelewa maana ya kufanya muziki kama kazi na kufanya muziki kama biashara?!
Chibu mbona hajabadilika pamoja na kuwa na Project ya East Africa Got Pregnant?Najua possible unauelewa mkubwa sekta hio,ila unauelewa wa mahusiano.
Ben lazima atachange tu,sio yy tu angalia wasanii wte wanaoingia kwny mahusiano mazto ,utagundua anachoptia ben wameptia kila mtu.
Family inachange watu
Daah! watu mna maneno... eti East Africa Got Pregnant ...πππChibu mbona hajabadilika pamoja na kuwa na Project ya East Africa Got Pregnant?
Hilo la ku-change ndo hofu yangu mimi kwa sababu, kwanza Ben kaanza kufanya music as a luxury a moment alivyoanza ku-date na yule mwanamke! Mbona Konde Boy na ushamba wake wote ule hakuzuzuka na Mzungu na kumfanya augeuze muziki kama luxury?!Najua possible unauelewa mkubwa sekta hio,ila unauelewa wa mahusiano.
Ben lazima atachange tu,sio yy tu angalia wasanii wte wanaoingia kwny mahusiano mazto ,utagundua anachoptia ben wameptia kila mtu.
Family inachange watu
Hahaa hivi watu sijui huwa mnawaza nini. Eti East Africa Got PregnantChibu mbona hajabadilika pamoja na kuwa na Project ya East Africa Got Pregnant?
Kumbe hata ukikaa hapo KE ni diaspora ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Diaspora" rudi nyumbani kumenoga
Wasije kumkamata na Mr. Ebitoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kubadilika kunaanzia na family yako au 'circle'Chibu mbona hajabadilika pamoja na kuwa na Project ya East Africa Got Pregnant?
kwani huwajui wagogo mkuu? mcheki hata PilipiliNaona jamaa nae huyu demu kamfanya awe mvivu siku hizi mziki hauchukulii serious kama zamani au sijui ndio nae anadanga.
Watani zangu wagogo mnazinguakwani huwajui wagogo mkuu? mcheki hata Pilipili
saanaaπππWatani zangu wagogo mnazingua
Wivu huo! Wanaona jamaa anafaidi kwa hiyo wanateseka πππWachangiaji wengi mnaonekana kutamani nafasi ya benpoul.
Amebweteka na vitu vya ukweni!Naona jamaa nae huyu demu kamfanya awe mvivu siku hizi mziki hauchukulii serious kama zamani au sijui ndio nae anadanga.