ronaldo habi
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 106
- 132
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wakati anakupiga virungu na unampatia hukuwahi kuletewa zawadi.. Sasa hivi hakupigi virungu na anakuletea Zawadi.
Je kipato chake kimeongezekaje baada ya kumwambia huo ukweli? Ama hivyo virungu amevihamishia kwa mwingine na wewe unashirikishwa kula hela ya mwanaume mwenzio?
Hebu tuwaze kwa pamoja Mkuu..
Habari wanajf
Kumekuwa na tatizo kubwa la wadada wengi kupiga vizinga wanaume nakushauri ndugu zangu usikubali hii hali hata kidogo inaweza kuharibu mipango yako maisha maana hapo inakuwa sio mapenzi Tena kwamaana nyingine unageuzwa wewe mwanaume kuwa sponsor.
Kuna demu fulani hivi niliwahi kudate nae alikuwa mtu wa vizinga Sana na alikuwa anaishi kwa Wazazi wake na pia alikuwa ni muajiriwa wa Serikalini kuna siku nikaamua nipigie mahesabu kwa kiasi chote nilichotoa kwa Huyo manzi ikaja laki 2.5 na hapo tulikuwa tupo kwenye mahusiano ndani ya wiki 3 imagine wiki 3 tu ni pesa hiyo vipi kama ingekuwa nina miezi 2 nae ingekuaje?Hii kitu ilinistua Sana.
Baada ya siku akaja kuniomba Tena nikamuuliza unanipenda kwa asilimia ngapi? Akaniambia kwanini umeniuliza hivyo me nikamjibu wewe nijibu tu akasema kwa 99.9% nikamwambia nashukuru Sana honey kwa kusikia Hilo nikaendelea nina something nataka nikwambie je upo teyari kupokea akajibu ndio kipenzi wewe kuwa huru kuniambia usiponimbia wewe Nani mwingine ataniambia?
Maana wewe umeshika moyo wangu na kwako sijiwezi kabisa nikamjibu nashukuru Sana my love kwa maneno yako matamu kama asali honey binafsi ninaishi kwa mahesabu ninakuwa na ratiba na utaratibu wangu kabisa kwenye matumizi na mimi ni kijana ambaye nina ndoto kubwa tu zakufanikiwa Sana umekuwa ukiniomba Sana fedha sio jambo baya lakini kuna wakati nakupa fedha nje ya matumizi niliyojipangia nafanya hivi ni kwasababu nakupenda na ni wajibu wangu kukujali as a man and as your boyfriend lakini imekuwa ikinicost na kuvuruga mipango yangu ya maisha so nakuomba kama ikitokea nimekuambia sina hela naomba unielewe na upokee kwa moyo mkunjufu na hapo utakuwa umefanya part yako kama mtu unayenipenda kama ulivyosema unanipenda kwa asilimia 99.9 mwisho kabisa nikamwambia s niwie radhi kama nitakuwa nimekuumiza kihisia akaniambia hapana my sweetie Hilo nilikuwa sijui Asante kwa kuwa muwazi kwangu wewe kuwa na Amani tu ujumbe wako ushafika kwangu.
Baada ya kumaliza nazungumzo nae yale siku zinazofuata niliona mabadiliko makubwa Sana kwake omba omba zilipungua Sana hata upendo uliongezeka kuna kuna kipindi akawa aniletea zawadi wakati hapo kabla sijawahi kupewa hata zawadi kuna wakati anakuja ghetto kana na mazagazaga mengi kifupi mambo yalikuwa mengi
NB: sio wote wanaopiga vizinga hawakupendi sometimes sisi Wanaume tunawazowesha hawa mademu zetu ndio maana wanakuwa omba omba Sana
Sasa inabidi TRA wapaangalie hapa vizuri 😀Tuishi nao kwa akili
Ukiona mwanamke anakupiga vizinga huyo ni muuzaji hana leseni tu
Mkuu tatizo wanamke wa sikuizi wamefanya mahusiano ndio mahala pakutatulia shida
Nimejifunza kituHabari wanajf
Kumekuwa na tatizo kubwa la wadada wengi kupiga vizinga wanaume nakushauri ndugu zangu usikubali hii hali hata kidogo inaweza kuharibu mipango yako maisha maana hapo inakuwa sio mapenzi Tena kwamaana nyingine unageuzwa wewe mwanaume kuwa sponsor.
Kuna demu fulani hivi niliwahi kudate nae alikuwa mtu wa vizinga Sana na alikuwa anaishi kwa Wazazi wake na pia alikuwa ni muajiriwa wa Serikalini kuna siku nikaamua nipigie mahesabu kwa kiasi chote nilichotoa kwa Huyo manzi ikaja laki 2.5 na hapo tulikuwa tupo kwenye mahusiano ndani ya wiki 3 imagine wiki 3 tu ni pesa hiyo vipi kama ingekuwa nina miezi 2 nae ingekuaje?Hii kitu ilinistua Sana.
Baada ya siku akaja kuniomba Tena nikamuuliza unanipenda kwa asilimia ngapi? Akaniambia kwanini umeniuliza hivyo me nikamjibu wewe nijibu tu akasema kwa 99.9% nikamwambia nashukuru Sana honey kwa kusikia Hilo nikaendelea nina something nataka nikwambie je upo teyari kupokea akajibu ndio kipenzi wewe kuwa huru kuniambia usiponimbia wewe Nani mwingine ataniambia?
Maana wewe umeshika moyo wangu na kwako sijiwezi kabisa nikamjibu nashukuru Sana my love kwa maneno yako matamu kama asali honey binafsi ninaishi kwa mahesabu ninakuwa na ratiba na utaratibu wangu kabisa kwenye matumizi na mimi ni kijana ambaye nina ndoto kubwa tu zakufanikiwa Sana umekuwa ukiniomba Sana fedha sio jambo baya lakini kuna wakati nakupa fedha nje ya matumizi niliyojipangia nafanya hivi ni kwasababu nakupenda na ni wajibu wangu kukujali as a man and as your boyfriend lakini imekuwa ikinicost na kuvuruga mipango yangu ya maisha so nakuomba kama ikitokea nimekuambia sina hela naomba unielewe na upokee kwa moyo mkunjufu na hapo utakuwa umefanya part yako kama mtu unayenipenda kama ulivyosema unanipenda kwa asilimia 99.9 mwisho kabisa nikamwambia s niwie radhi kama nitakuwa nimekuumiza kihisia akaniambia hapana my sweetie Hilo nilikuwa sijui Asante kwa kuwa muwazi kwangu wewe kuwa na Amani tu ujumbe wako ushafika kwangu.
Baada ya kumaliza nazungumzo nae yale siku zinazofuata niliona mabadiliko makubwa Sana kwake omba omba zilipungua Sana hata upendo uliongezeka kuna kuna kipindi akawa aniletea zawadi wakati hapo kabla sijawahi kupewa hata zawadi kuna wakati anakuja ghetto kana na mazagazaga mengi kifupi mambo yalikuwa mengi
NB: sio wote wanaopiga vizinga hawakupendi sometimes sisi Wanaume tunawazowesha hawa mademu zetu ndio maana wanakuwa omba omba Sana
Tunachomaanisha sisi ukiwa una omba omba sana au unatunga story ilimradi upewe helaKwanza emu fungukeni… mnamaanishaje mnaposema vizinga?
Kizinga kinaanzia sh. ngapi? Ili kiwe kizinga kinatakiwa kuzidi amount gani?
Let say we date, nakuomba assist ya kurefill gas… nacho ni kizinga? Nimeona gauni zuri nikuombe uninunulie ni kizinga? Wakati tukienda dinner date natupia hiko kigauni.
Vizinga tunachomaanisha ni kuwa una omba omba Sana yaani kupita kiasi unakuta ndani ya wiki unaomba si chini ya Mara 5 au unatunga story ndungu yako kafariki, una umwa au umepata ajali so unahitaji hela ya matibabu na mengine kama hayo ilimradi upewe hela kwa hicho ulichouliza sio mbaya lakini isiwe too much mwisho wa siku utaonekana ni mxigoKwanza emu fungukeni… mnamaanishaje mnaposema vizinga?
Kizinga kinaanzia sh. ngapi? Ili kiwe kizinga kinatakiwa kuzidi amount gani?
Let say we date, nakuomba assist ya kurefill gas… nacho ni kizinga? Nimeona gauni zuri nikuombe uninunulie ni kizinga? Wakati tukienda dinner date natupia hiko kigauni.
Si useme OK 🤣🤣🤣Kama huyu namkwepaje huyu???View attachment 2232089
Nishakwambia huyu manzi ni muajiriwa wa Serikalini kazi yake ina mpunga tu mzuri sema alikuwa ajiendekeza Sana kuomba kwangu sio kwasababu uwezo alikuwa hana kuna wengine wanazani kukuomba ni moja ya mapenzi ila baada yakumchana ukweli nikaona kuna mabaliko kipi ujaelewa hapo?Kama wakati anakupiga virungu na unampatia hukuwahi kuletewa zawadi.. Sasa hivi hakupigi virungu na anakuletea Zawadi.
Je kipato chake kimeongezekaje baada ya kumwambia huo ukweli? Ama hivyo virungu amevihamishia kwa mwingine na wewe unashirikishwa kula hela ya mwanaume mwenzio?
Hebu tuwaze kwa pamoja Mkuu..
37k hapo nimeishiwa nimetoka kusaini boom, kama ni rahisi atafute zake. Siwezi saini boom alafu nikaanza kugawa hela siku hiyohiyoIla wanawake tafuteni hela
Imagine
37k tu
Sio kwamba hiyo hela nimetoa kwa pamoja mimi sikuwa mbwege kiasi hicho nitoe laki 2.5 kwa mkupuo but baada yakupiga mahesabu hela alizokuwa ananiomba na kumpa ndio jumla inakuja hiyo laki 2.5We nae ulkuwa fala sana...yaani mihela yote ukampe mtoto wa kike kisa nn????si apewe na baba ake
Cost benefit analysis imehusika hapo. Sina hasara sana akinipiga chengaSii mbususu anakupa...basi huyo anafaa kupewa hela...wee mpe hela tena ikiwekekana wakati unamgegeda unamwagia minoti au unamwambia abananishe dollar katikati ya tako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee kama mbususu unapewa wala huna hasara kaka maana unapewa burudani pendwa.Cost benefit analysis imehusika hapo. Sina hasara sana akinipiga chenga
Ndugu huyu demu nimeacha nae mbona muda kidogoMuulize siku nyingine umejaribu kuwaomba wazazi wako wamesemaje, utasikia lakini wewe ni mpenzi wangu. Muulize mimi na wazazi kwa imani yako nani ana mapenzi ya kweli. ...utajua unamalizaje hii vita ya kuombwa pesa
🤣🤣🤣🤣 Wanafiki hawakosekanagiHapa wenzako wana kusapot wakitoka huko nje wanahonga kama hawana akili timamu
Umeongea kitu Cha utu uzima sanaSio lazima kuonga kama mnapendana kweli ,ila ukiwa una mpenda mtu lazima umtunze.