Wakwepeni wadada wapiga vizinga

Wakwepeni wadada wapiga vizinga

Kama wakati anakupiga virungu na unampatia hukuwahi kuletewa zawadi.. Sasa hivi hakupigi virungu na anakuletea Zawadi.

Je kipato chake kimeongezekaje baada ya kumwambia huo ukweli? Ama hivyo virungu amevihamishia kwa mwingine na wewe unashirikishwa kula hela ya mwanaume mwenzio?

Hebu tuwaze kwa pamoja Mkuu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajf

Kumekuwa na tatizo kubwa la wadada wengi kupiga vizinga wanaume nakushauri ndugu zangu usikubali hii hali hata kidogo inaweza kuharibu mipango yako maisha maana hapo inakuwa sio mapenzi Tena kwamaana nyingine unageuzwa wewe mwanaume kuwa sponsor.

Kuna demu fulani hivi niliwahi kudate nae alikuwa mtu wa vizinga Sana na alikuwa anaishi kwa Wazazi wake na pia alikuwa ni muajiriwa wa Serikalini kuna siku nikaamua nipigie mahesabu kwa kiasi chote nilichotoa kwa Huyo manzi ikaja laki 2.5 na hapo tulikuwa tupo kwenye mahusiano ndani ya wiki 3 imagine wiki 3 tu ni pesa hiyo vipi kama ingekuwa nina miezi 2 nae ingekuaje?Hii kitu ilinistua Sana.

Baada ya siku akaja kuniomba Tena nikamuuliza unanipenda kwa asilimia ngapi? Akaniambia kwanini umeniuliza hivyo me nikamjibu wewe nijibu tu akasema kwa 99.9% nikamwambia nashukuru Sana honey kwa kusikia Hilo nikaendelea nina something nataka nikwambie je upo teyari kupokea akajibu ndio kipenzi wewe kuwa huru kuniambia usiponimbia wewe Nani mwingine ataniambia?

Maana wewe umeshika moyo wangu na kwako sijiwezi kabisa nikamjibu nashukuru Sana my love kwa maneno yako matamu kama asali honey binafsi ninaishi kwa mahesabu ninakuwa na ratiba na utaratibu wangu kabisa kwenye matumizi na mimi ni kijana ambaye nina ndoto kubwa tu zakufanikiwa Sana umekuwa ukiniomba Sana fedha sio jambo baya lakini kuna wakati nakupa fedha nje ya matumizi niliyojipangia nafanya hivi ni kwasababu nakupenda na ni wajibu wangu kukujali as a man and as your boyfriend lakini imekuwa ikinicost na kuvuruga mipango yangu ya maisha so nakuomba kama ikitokea nimekuambia sina hela naomba unielewe na upokee kwa moyo mkunjufu na hapo utakuwa umefanya part yako kama mtu unayenipenda kama ulivyosema unanipenda kwa asilimia 99.9 mwisho kabisa nikamwambia s niwie radhi kama nitakuwa nimekuumiza kihisia akaniambia hapana my sweetie Hilo nilikuwa sijui Asante kwa kuwa muwazi kwangu wewe kuwa na Amani tu ujumbe wako ushafika kwangu.

Baada ya kumaliza nazungumzo nae yale siku zinazofuata niliona mabadiliko makubwa Sana kwake omba omba zilipungua Sana hata upendo uliongezeka kuna kuna kipindi akawa aniletea zawadi wakati hapo kabla sijawahi kupewa hata zawadi kuna wakati anakuja ghetto kana na mazagazaga mengi kifupi mambo yalikuwa mengi

NB: sio wote wanaopiga vizinga hawakupendi sometimes sisi Wanaume tunawazowesha hawa mademu zetu ndio maana wanakuwa omba omba Sana

Hongera sana kwa kupendwa asilimia 99.9 hizi zote ni juhudi ya serikali ya awamu ya sita,mama kaupiga mwingi sana,sisi wengine huwa hatupendwi hata kwa asilimia 0 huwa tunachapa na kutembea tu kuunga juhudi za jiwe [emoji851]
 
Habari wanajf

Kumekuwa na tatizo kubwa la wadada wengi kupiga vizinga wanaume nakushauri ndugu zangu usikubali hii hali hata kidogo inaweza kuharibu mipango yako maisha maana hapo inakuwa sio mapenzi Tena kwamaana nyingine unageuzwa wewe mwanaume kuwa sponsor.

Kuna demu fulani hivi niliwahi kudate nae alikuwa mtu wa vizinga Sana na alikuwa anaishi kwa Wazazi wake na pia alikuwa ni muajiriwa wa Serikalini kuna siku nikaamua nipigie mahesabu kwa kiasi chote nilichotoa kwa Huyo manzi ikaja laki 2.5 na hapo tulikuwa tupo kwenye mahusiano ndani ya wiki 3 imagine wiki 3 tu ni pesa hiyo vipi kama ingekuwa nina miezi 2 nae ingekuaje?Hii kitu ilinistua Sana.

Baada ya siku akaja kuniomba Tena nikamuuliza unanipenda kwa asilimia ngapi? Akaniambia kwanini umeniuliza hivyo me nikamjibu wewe nijibu tu akasema kwa 99.9% nikamwambia nashukuru Sana honey kwa kusikia Hilo nikaendelea nina something nataka nikwambie je upo teyari kupokea akajibu ndio kipenzi wewe kuwa huru kuniambia usiponimbia wewe Nani mwingine ataniambia?

Maana wewe umeshika moyo wangu na kwako sijiwezi kabisa nikamjibu nashukuru Sana my love kwa maneno yako matamu kama asali honey binafsi ninaishi kwa mahesabu ninakuwa na ratiba na utaratibu wangu kabisa kwenye matumizi na mimi ni kijana ambaye nina ndoto kubwa tu zakufanikiwa Sana umekuwa ukiniomba Sana fedha sio jambo baya lakini kuna wakati nakupa fedha nje ya matumizi niliyojipangia nafanya hivi ni kwasababu nakupenda na ni wajibu wangu kukujali as a man and as your boyfriend lakini imekuwa ikinicost na kuvuruga mipango yangu ya maisha so nakuomba kama ikitokea nimekuambia sina hela naomba unielewe na upokee kwa moyo mkunjufu na hapo utakuwa umefanya part yako kama mtu unayenipenda kama ulivyosema unanipenda kwa asilimia 99.9 mwisho kabisa nikamwambia s niwie radhi kama nitakuwa nimekuumiza kihisia akaniambia hapana my sweetie Hilo nilikuwa sijui Asante kwa kuwa muwazi kwangu wewe kuwa na Amani tu ujumbe wako ushafika kwangu.

Baada ya kumaliza nazungumzo nae yale siku zinazofuata niliona mabadiliko makubwa Sana kwake omba omba zilipungua Sana hata upendo uliongezeka kuna kuna kipindi akawa aniletea zawadi wakati hapo kabla sijawahi kupewa hata zawadi kuna wakati anakuja ghetto kana na mazagazaga mengi kifupi mambo yalikuwa mengi

NB: sio wote wanaopiga vizinga hawakupendi sometimes sisi Wanaume tunawazowesha hawa mademu zetu ndio maana wanakuwa omba omba Sana
Nimejifunza kitu
 
Nimesoma heading TU,
Nikajiuliza,
Mpaka anakupiga vizinga mlikuwa unaongeza nae Nini??
Pigeni vizinga Tu Tena mara mobile yake
 
Kwanza emu fungukeni… mnamaanishaje mnaposema vizinga?

Kizinga kinaanzia sh. ngapi? Ili kiwe kizinga kinatakiwa kuzidi amount gani?

Let say we date, nakuomba assist ya kurefill gas… nacho ni kizinga? Nimeona gauni zuri nikuombe uninunulie ni kizinga? Wakati tukienda dinner date natupia hiko kigauni.
Tunachomaanisha sisi ukiwa una omba omba sana au unatunga story ilimradi upewe hela
Kwanza emu fungukeni… mnamaanishaje mnaposema vizinga?

Kizinga kinaanzia sh. ngapi? Ili kiwe kizinga kinatakiwa kuzidi amount gani?

Let say we date, nakuomba assist ya kurefill gas… nacho ni kizinga? Nimeona gauni zuri nikuombe uninunulie ni kizinga? Wakati tukienda dinner date natupia hiko kigauni.
Vizinga tunachomaanisha ni kuwa una omba omba Sana yaani kupita kiasi unakuta ndani ya wiki unaomba si chini ya Mara 5 au unatunga story ndungu yako kafariki, una umwa au umepata ajali so unahitaji hela ya matibabu na mengine kama hayo ilimradi upewe hela kwa hicho ulichouliza sio mbaya lakini isiwe too much mwisho wa siku utaonekana ni mxigo
 
Kama huyu namkwepaje huyu???
Screenshot_20220520-185740.jpg
 
Kama wakati anakupiga virungu na unampatia hukuwahi kuletewa zawadi.. Sasa hivi hakupigi virungu na anakuletea Zawadi.

Je kipato chake kimeongezekaje baada ya kumwambia huo ukweli? Ama hivyo virungu amevihamishia kwa mwingine na wewe unashirikishwa kula hela ya mwanaume mwenzio?

Hebu tuwaze kwa pamoja Mkuu..
Nishakwambia huyu manzi ni muajiriwa wa Serikalini kazi yake ina mpunga tu mzuri sema alikuwa ajiendekeza Sana kuomba kwangu sio kwasababu uwezo alikuwa hana kuna wengine wanazani kukuomba ni moja ya mapenzi ila baada yakumchana ukweli nikaona kuna mabaliko kipi ujaelewa hapo?
 
Kuna mke wa mtu juzi kataka pesa ya kusuka, mara nimtumie pesa ya fremu miezi 6 1.8M nilibaki nacheka tu, sio kwamba sina uwezo wa kumpa hiyo pesa tatizo ni kwamba ana mme mtumishi pia why matatizo yake aniambie mimi.

Kuhusu kula uchi wake ni mara moja tu, siku hizi nikimuita nimpige kimoja analeta maneno mengi nami nikampotezea ila namuunga kwenye bidhaa zake mara kadhaa.

Kwa ufupi nilichogundua hawa wadada ukiwa mtu wa kusema YES kwa kila jambo wanakuchukulia poa sana, kuna muda inabidi umunyime ili asikuzoee sana.
 
We nae ulkuwa fala sana...yaani mihela yote ukampe mtoto wa kike kisa nn????si apewe na baba ake
Sio kwamba hiyo hela nimetoa kwa pamoja mimi sikuwa mbwege kiasi hicho nitoe laki 2.5 kwa mkupuo but baada yakupiga mahesabu hela alizokuwa ananiomba na kumpa ndio jumla inakuja hiyo laki 2.5
 
Sii mbususu anakupa...basi huyo anafaa kupewa hela...wee mpe hela tena ikiwekekana wakati unamgegeda unamwagia minoti au unamwambia abananishe dollar katikati ya tako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cost benefit analysis imehusika hapo. Sina hasara sana akinipiga chenga
 
Cost benefit analysis imehusika hapo. Sina hasara sana akinipiga chenga
Wee kama mbususu unapewa wala huna hasara kaka maana unapewa burudani pendwa.

Mwanamke ambaye ananipa sex siku ya kwanza, ambaye ananiambia kuwa anagegedwa na wanaume wengine zaidi yangu na ontop of that hataki strings attached...huyo yeye anipige tuu mizinga nitampa.
 
Muulize siku nyingine umejaribu kuwaomba wazazi wako wamesemaje, utasikia lakini wewe ni mpenzi wangu. Muulize mimi na wazazi kwa imani yako nani ana mapenzi ya kweli. ...utajua unamalizaje hii vita ya kuombwa pesa
Ndugu huyu demu nimeacha nae mbona muda kidogo
 
Akili za hawa viumbe ni za Machale sana halafu sasa wanashindwa namna ya kubehave wao nikuomba tu mimi siwataki wa ivo ni either nikutumie kwa muda mfupi then niku dump, mimi kuna mmoja ame ni win sana mana hana tabia za kuomba omba kwa sasa akitaka kitu najua anauhitaji serious na nitampa moyo ukiwa mweupe na hata kama sina ataelewa vyema kabisa bila kinyongo
 
Back
Top Bottom