Wala bata wa JF

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji1]mada zipo nyingi ila zinatoka kwa wakati husika... Si busara kujibishana na hizi feki ID tunazotumia kwakuwa kuna ID huwa zinacheza na akili za watu... Anakuja na ID hii anakuponda vibaya sana... Halafu anabadili ID anakupa sifa kama zote... Ni muhimu sana kumakinika na hizi ID kwakuwa kuna watu wanazitumia vibaya
Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…