Wala bata wa JF

Inawezekana alimfuata usiku akampigisha kazi nzito alafu akamrudisha gheto msela asubuhi yuko hoi mpaka leo kimyaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji124][emoji124][emoji125][emoji125][emoji102][emoji125][emoji125][emoji100][emoji100][emoji100]
Inawezekana alimfuata usiku akampigisha kazi nzito alafu akamrudisha gheto msela asubuhi yuko hoi mpaka leo kimyaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
On serious note... Si vizuri kujibishana na hizi ID bandia tulizonazo kama mtu hajui matumizi yake sahihi... Kujibishana na mtu wa namna hiyo ni sawa na kupiga bomu mochwari kisha ujisifu umeua marehemu

Jr[emoji769]
 
Hahahahaha husband ushahidi amepewa, kwamba mkewe nae ni chakula mezan kwa boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…