google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Mzee umetapakaa sehemu zote kama harara kwenye ngozi ? Toka msata, kibaha mpaka kimara bucha ?Hapana kaka Kimara bucha iyo
Jr[emoji769]
No no ni digidigi nyama lainiiiiii kama maini[emoji23][emoji23][emoji23] kuna swala wa kutosha.
Mashart ndo mtihani shekhe ila nenda tuMkuu itabidi nije kilingeni kwako unipe mchongo na mimi nile hata kuku sio bata.
Inawezekana alimfuata usiku akampigisha kazi nzito alafu akamrudisha gheto msela asubuhi yuko hoi mpaka leo kimyaaaKwanza nakusifu kitu kimoja Mshana Jr, kuna action ulichukua ya akili sana dhidi ya jamaa mmoja aliyekuja kukupinga kuhusu suala la Ushirikina. Jamaa alitoa povu sana siku hiyo na matusi kibao ila wewe ulichofanya ni kukaa kimya na kumpuuza. Kwanza hongera kwa hilo...
Pili tangu siku hiyo sioni hizo mada zinazohusu hayo mambo, na umekuwa mtoa mada mzuri katika majukwaa mengine bila kujihusisha na mada za kishirikina japo tumezimiss [emoji848]
Mzee umetapakaa sehemu zote kama harara kwenye ngozi ? Toka msata, kibaha mpaka kimara bucha ?
Sent using Jamii Forums mobile app
On serious note... Si vizuri kujibishana na hizi ID bandia tulizonazo kama mtu hajui matumizi yake sahihi... Kujibishana na mtu wa namna hiyo ni sawa na kupiga bomu mochwari kisha ujisifu umeua marehemuInawezekana alimfuata usiku akampigisha kazi nzito alafu akamrudisha gheto msela asubuhi yuko hoi mpaka leo kimyaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha husband ushahidi amepewa, kwamba mkewe nae ni chakula mezan kwa bossWife phones her husband and tells him tonight I will be late so dont wait for me for dinner as it's my boss's birthday party and all the staff has been invited
So the husband requested her to send some photos of the food served and this is what she sends [emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1346018
Jr[emoji769]
Mambo mvurugiko hapo mpe jamaa hata vumbi la kongo kuepusha kilio kutoka kwa shemeji
Hahahahaha husband ushahidi amepewa, kwamba mkewe nae ni chakula mezan kwa boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mzee baba kitu lainii unalamba mpaka unyayo hahahahaMaini cha mtoto kama supu ya mapupu
Jr[emoji769]
Hapo sawa ponda mali piga vombooo kufa kupo tu[emoji23][emoji23][emoji23]kama nzige kaka
Jr[emoji769]