Hapa itakuwa kwa Semtema, au Msichoke Klabu.
Hujaona tag yangu kaka?!Mmh mbona umeondoka sasa
Jr[emoji769]
we mzee kwapilato tena kwa kosa gani kula bata au?
[emoji2296]
πππ dhabu yake asile bata kwa miaka kadha.Kuna mlabata mmoja kazingua... Pesa ya kazi kaifanya nauli ya kula bata
Jr[emoji769]
Naona MjiBAPA pembeni hapo mjumbe.
Hapo ijumaa ilikuwa murua kabisaa chief ππ
πππBapa zilishuka mpaka minyoo ikaomba poo
Jr[emoji769]