Wala bata wa JF

Wala bata wa JF

.JF member.. Bata kazini
tapatalk_1581187796729.jpeg


Jr[emoji769]
 
Hauko mwenyew mkuu tuko wengi kama mimi wananijua ni mzee wa lock yani mpaka ifike saa nne mbona ni kelele

Kunywa pombe upate akili ya kupanga maisha sio unalewa kijinga usije ukazima sehem hatari ukapigwa ndonga
 
Habar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.

USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikaaa nakunywa pombe kwa miaka Zaid ya 20+ ila Sasa nashukuru Mungu huo ulevi napita nao mbali yaaaan labda totoz tu ndio nashindwa kuacha

kilicho akilini kitumie
 
Habar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.

USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea nitaona VYUPA vya Ajajbu vya kikubwa... Una kula Vant then unasema... POMBE imekuloga??.. kwa mujibu wa wanywaji VANT kubwa zimesha anza chakachuliwa ni kama GONGO tu ndo maana zimekuwa adimu.. xaxa kijana una haki ya kutaka kuja DAR....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom