Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safii natamani wewe ndio ungekua mdogo wangu....pombe ndio kila kitu kwenye maisha, pombe ndio furaha ya maisha,maisha bila pombe si lolote,ipende pombe,iheshimu pombe,
Maisha yafaa nini bila pombe??
Upo kwenye mstari na njia sahihi kabisa,nikiwa na umri kama wako nilikua natembea kabisa na viroba mfukoni,mda wowote na popote nilikua nakunywa.
Mzeebaba usiache pombe na mchukie fala yoyote atakaejaribu kukuweka mbali na pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Pombe ubirudisha nafsi na kukusaulisha shida za Dunia. Kunywa pombe okoa maji.
Habar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.
USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16]safii sanaaaSafii natamani wewe ndio ungekua mdogo wangu....pombe ndio kila kitu kwenye maisha, pombe ndio furaha ya maisha,maisha bila pombe si lolote,ipende pombe,iheshimu pombe,
Maisha yafaa nini bila pombe??
Upo kwenye mstari na njia sahihi kabisa,nikiwa na umri kama wako nilikua natembea kabisa na viroba mfukoni,mda wowote na popote nilikua nakunywa.
Mzeebaba usiache pombe na mchukie fala yoyote atakaejaribu kukuweka mbali na pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ladha ya pombe ni tamu mara 1000 ya ladha ya mbunye,sasa hapo ndio kasheshe ilipo.Naijua
[emoji23][emoji23][emoji23] dah kweli bata alichagui sehemu kokote tu kule watu wanaliamsha [emoji119]