vulturine vulture
Senior Member
- Sep 5, 2019
- 154
- 99
Bakuja ninini??au mataputapu yashakukolea??mana inaonekana unapga.mataputapuHabar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.
USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app