Wala bata wa JF

Wala bata wa JF

Habar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.

USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141

Sent using Jamii Forums mobile app
Bakuja ninini??au mataputapu yashakukolea??mana inaonekana unapga.mataputapu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok
Safii natamani wewe ndio ungekua mdogo wangu....pombe ndio kila kitu kwenye maisha, pombe ndio furaha ya maisha,maisha bila pombe si lolote,ipende pombe,iheshimu pombe,
Maisha yafaa nini bila pombe??

Upo kwenye mstari na njia sahihi kabisa,nikiwa na umri kama wako nilikua natembea kabisa na viroba mfukoni,mda wowote na popote nilikua nakunywa.

Mzeebaba usiache pombe na mchukie fala yoyote atakaejaribu kukuweka mbali na pombe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safii natamani wewe ndio ungekua mdogo wangu....pombe ndio kila kitu kwenye maisha, pombe ndio furaha ya maisha,maisha bila pombe si lolote,ipende pombe,iheshimu pombe,
Maisha yafaa nini bila pombe??

Upo kwenye mstari na njia sahihi kabisa,nikiwa na umri kama wako nilikua natembea kabisa na viroba mfukoni,mda wowote na popote nilikua nakunywa.

Mzeebaba usiache pombe na mchukie fala yoyote atakaejaribu kukuweka mbali na pombe

Sent using Jamii Forums mobile app

Ushahuri mzuri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom