Wala bata wa JF

Wala bata wa JF

Plan B pub
1585062680455.jpeg


Jr[emoji769]
 
Same seat... Same location.. Plan B JUST.. Mengo district.. Kampala
1585149771465.jpeg


Jr[emoji769]
 
Bata batani...wana wa stress free zone..!!!!

Don't take it personal... Wala usichukulie wahusika wa mada hii ni watu wa nyodo wenye nazo na wanaopenda show off... La hasha... Hata wewe ni sehemu ya mada hii.. Hata kama uko kibanda umiza kwa mama muuza na jero yako ukila ngumu kumeza na cheni bloku.. Bado unakula bata...

Ama la uko na mkoko wa mwana kakuazima uoshee.. Bado ni moment ya kula bata.. Weee tupia tuu... Lakini ficha plate number

Hata kama mmealikwa kwenye karamu ya ofisi, jirani, ndugu, harusi.... Hafla za kichama na serikali wee tupia tuu... Hiyo ni moment yako ya kula bata...

Hata kama uko zako bush umeamua kujitenga ukafurahi na kima mijusi na ngedere.. Tupia kwa raha zako

Usiache kutupia hata kama si tukio lako ni la mwana ama mchuchu

Maisha yetu yamejaa CHANGAMOTO na setbacks kibao.... Ukizishikia stress bango... Zitakumaliza utuache tukichill na vilimbwende vya mzee baba... Kuwa sehemu ya wala bata wa JF.... Onesha wapi upo au ulipokuwa ukichill na pengine hata kula tundi kimaskhara

Jisikie huru kujiachia... Usiendekeze stress na majungu... Vitakumaliza... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]

Msije mkala bata wenye corona mkuu
 


Jr[emoji769]
 
Funika bovu.. This is next level


Jr[emoji769]
 
Same seat... Same location.. Plan B JUST.. Mengo district.. Kampala View attachment 1399190

Jr[emoji769]
Bro umetisha mm POMBE Kali nop..maana kilichowahi nikuta sinza NILIKULA SINGILEND NA BOXER ZA JAMAA WENYE MABAKA HALAFU NIKAJIFANYA KUWAVIMBIA KISA WINE ZIMEJAA KICHWANI..MM SERENGET MWISHO HEINKEIN....lampard manzese
IMG_20200406_184415_787.jpg
IMG_20200406_184415_787.jpg
 
Back
Top Bottom