Wala bata wa JF

Wala bata wa JF

Mimi bata yangu huwa nakula monde mwa...mwi... Na nikilewa hadi nipigwe ndio akili inanikaa sawa
tapatalk_1574768306620.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well, it depends with somebody's hobbies or whatever, it doesn't matter how much money you can use ila kila mtu ana definition yake ya kula bata, for me natumia nguvu nyingi kujipatia mkate wangu wa kila siku lakini for each amount of revenue ninayoingiza mfukoni lazima kuna pande liingie kwenye kula bataa hiyo haikwepeki.

First huwa naamini the more you spend the more you earn, then huwa naamini katika kujipa self rewards, katika kila task ninayojipa huwa niki achieve lazima nijipe reward, iwe kwenda vacation, out za kawaida, shopping or whatever hii imenijengea morali ya kufanya kazi zaidi na zaidi.

By the way ugonjwa wangu mkubwa ni vacations bata langu ni la kusafiri na kwenda kutafuna mifupa nje ya mahali nilipopazoea.
Tusijinyime jamani, tufanye kazi, tuwekeze lakini swala la kula bata ni VITAL you know 😂😂 (in le mutuz's voice )

VUNJA MIFUPA KAMA MENO IPO!
 
By the way ugonjwa wangu mkubwa ni vacations bata langu ni la kusafiri na kwenda kutafuna mifupa nje ya mahali nilipopazoewa.
Tusijinyime jamani, tufanye kazi, tuwekeze lakini swala la kula bata ni VITAL you know [emoji23][emoji23] (in le mutuz's voice )

VUNJA MIFUPA KAMA MENO IPO! [emoji298][emoji298][emoji298][emoji123][emoji109][emoji625][emoji419]
Well, it depends with somebody's hobbies or whatever, it doesn't matter how much money you can use ila kila mtu ana definition yake ya kula bata, for me natumia nguvu nyingi kujipatia mkate wangu wa kila siku lakini for each amount of revenue ninayoingiza mfukoni lazima kuna pande liingie kwenye kula bataa hiyo haikwepeki.

First huwa naamini the more you spend the more you earn, then huwa naamini katika kujipa self rewards, katika kila task ninayojipa huwa niki achieve lazima nijipe reward, iwe kwenda vacation, out za kawaida, shopping or whatever hii imenijengea morali ya kufanya kazi zaidi na zaidi.

By the way ugonjwa wangu mkubwa ni vacations bata langu ni la kusafiri na kwenda kutafuna mifupa nje ya mahali nilipopazoewa.
Tusijinyime jamani, tufanye kazi, tuwekeze lakini swala la kula bata ni VITAL you know [emoji23][emoji23] (in le mutuz's voice )

VUNJA MIFUPA KAMA MENO IPO!

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom