[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wa kwanza kashikilia lita 2 za ugimbi, demu na jamaa mwingine wana chimpumu lita moja moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wa kwanza kashikilia lita 2 za ugimbi, demu na jamaa mwingine wana chimpumu lita moja moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] masiala hayo mzee baba. Ulikuwa unapiga kinywaji gani hapo au togwa?Wa kwanza mwenye mawani na kopo jekundu ni mimi by then
Jr[emoji769]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] masiala hayo mzee baba. Ulikuwa unapiga kinywaji gani hapo au togwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ugimbi mixer ulanzi na kali ile ya moshi mvuke
Jr[emoji769]
πππHuyu pia alikula bata kwa namna hii...teh[emoji23]
View attachment 1327897
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi bata yangu huwa nakula monde mwa...mwi... Na nikilewa hadi nipigwe ndio akili inanikaa sawaView attachment 1328925
Sent using Jamii Forums mobile app
π sawaa mkuu, tuna subscribe na tunaenda nao sambamba kabisa.Ndio kwanza uko kwenye foundation [emoji23]na unskuhusu kwa asilimia mia nne
Jr[emoji769]
Well, it depends with somebody's hobbies or whatever, it doesn't matter how much money you can use ila kila mtu ana definition yake ya kula bata, for me natumia nguvu nyingi kujipatia mkate wangu wa kila siku lakini for each amount of revenue ninayoingiza mfukoni lazima kuna pande liingie kwenye kula bataa hiyo haikwepeki.
First huwa naamini the more you spend the more you earn, then huwa naamini katika kujipa self rewards, katika kila task ninayojipa huwa niki achieve lazima nijipe reward, iwe kwenda vacation, out za kawaida, shopping or whatever hii imenijengea morali ya kufanya kazi zaidi na zaidi.
By the way ugonjwa wangu mkubwa ni vacations bata langu ni la kusafiri na kwenda kutafuna mifupa nje ya mahali nilipopazoewa.
Tusijinyime jamani, tufanye kazi, tuwekeze lakini swala la kula bata ni VITAL you know [emoji23][emoji23] (in le mutuz's voice )
VUNJA MIFUPA KAMA MENO IPO!