Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
[emoji23][emoji23][emoji23] ni macho yangu au nn kile nilichokiona..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] ni macho yangu au nn kile nilichokiona..
Hizo robot ni nyoko kweli yaan [emoji119][emoji119]
Ndyo mkuu😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti mikungu ya ndizi
[emoji23][emoji23][emoji23] basi ndizi zako sio za nchi hii.Ndyo mkuu[emoji28]
😅😅😅, za hapa hapa Bongo land aisee[emoji23][emoji23][emoji23] basi ndizi zako sio za nchi hii.
Nahakika mm siwezi nunua kabisa hizo ndizi maana unapoziuzia huko ni kwa wababe tu. 😂😂😂😂😅😅😅, za hapa hapa Bongo land aisee
Mkuu ngoja nika print hii picha kisha karatasi niweke kwenye wallet. Mchana unaifungua kufanya upembuzi yakinifu.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wakenya kumbe nao wamo Ee!
Jan ipo chupa 1 Feb zinakuwa 2 mpaka Dec unaweka bucket kabisa hapo.
Mkuu itabidi nije kilingeni kwako unipe mchongo na mimi nile hata kuku sio bata.[emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]