AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
JF...!
Wapendwa wana JF wadau wa elimu, nimechukua fursa kuomba msaada wa ushauri wenu kwa huyu dogo mwanaJF mwenzetu ambaye ni jirani yangu hapa home napoishi.
Dogo matokeo yake ya kwanza alikuwa na D's ktk masomo 6 (Hist, CIV, Chem, , Geo, Kisw, Lang) Pamoja na F za (Math, Phy na Bios)
div4-29
Mungu si Athuman baada ya uchakataji dogo akapata credit 4 za Chem, Hist, lang, Civ,
Pia na yale masomo mengine yote ya sayansi aliyopiga F hivi sasa kapata D yote. Div3-24
Kasheshe imekuja baada ya kupata matokeo mapya mazuri hivi sasa anataka asome PCB kisa kwao wazazi wamemwambia wanapenda asome sayansi ili aje kuwa daktari, Nimejaribu kumshauri asomee anachokiweza dogo kanitusi na kejeli,
Nimekuja hapa may be atawaelewa ninyi mkishauri maana ni member humu so ushauri wenu kwake ni wa muhimu sana.
Ahsanteni.
Wapendwa wana JF wadau wa elimu, nimechukua fursa kuomba msaada wa ushauri wenu kwa huyu dogo mwanaJF mwenzetu ambaye ni jirani yangu hapa home napoishi.
Dogo matokeo yake ya kwanza alikuwa na D's ktk masomo 6 (Hist, CIV, Chem, , Geo, Kisw, Lang) Pamoja na F za (Math, Phy na Bios)
div4-29
Mungu si Athuman baada ya uchakataji dogo akapata credit 4 za Chem, Hist, lang, Civ,
Pia na yale masomo mengine yote ya sayansi aliyopiga F hivi sasa kapata D yote. Div3-24
Kasheshe imekuja baada ya kupata matokeo mapya mazuri hivi sasa anataka asome PCB kisa kwao wazazi wamemwambia wanapenda asome sayansi ili aje kuwa daktari, Nimejaribu kumshauri asomee anachokiweza dogo kanitusi na kejeli,
Nimekuja hapa may be atawaelewa ninyi mkishauri maana ni member humu so ushauri wenu kwake ni wa muhimu sana.
Ahsanteni.