Walai usiulize kama ni mtam, inshara hii yatosha kujua kuwa yu.....

Walai usiulize kama ni mtam, inshara hii yatosha kujua kuwa yu.....

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Nadhani sasa wasichana wa kibongo kuna mganga anawadanganya kuwa ukiwa na midomo ya namna hii wewe utaonekana mtamu, kitu kilichoperekea kila mschana kupiga picha akiwa amekunja midomo kama anapiga mruzi.!

wengine siku hizi mmejigeuza walemavu wa miguu, mnalazimika kijikunja katikati ili uonenae umebinuka ili uonekane mtamu kumbe ndo kwanza unakuwa kama joka la kibisa.!
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
224175.jpg
 
Nadhani sasa wasichana wa kibongo kuna mganga anawadanganya kuwa ukiwa na midomo ya namna hii wewe utaonekana mtamu, kitu kilichoperekea kila mschana kupiga picha akiwa amekunja midomo kama anapiga mruzi.!

wengine siku hizi mmejigeuza walemavu wa miguu, mnalazimika kijikunja katikati ili uonenae umebinuka ili uonekane mtamu kumbe ndo kwanza unakuwa kama joka la kibisa.!View attachment 418942 View attachment 418943 View attachment 418946 View attachment 418947 View attachment 418942 View attachment 418943 View attachment 418946 View attachment 418947 View attachment 418942
Du!
 
Nadhani sasa wasichana wa kibongo kuna mganga anawadanganya kuwa ukiwa na midomo ya namna hii wewe utaonekana mtamu, kitu kilichoperekea kila mschana kupiga picha akiwa amekunja midomo kama anapiga mruzi.!

wengine siku hizi mmejigeuza walemavu wa miguu, mnalazimika kijikunja katikati ili uonenae umebinuka ili uonekane mtamu kumbe ndo kwanza unakuwa kama joka la kibisa.!View attachment 418942 View attachment 418943 View attachment 418946 View attachment 418947 View attachment 418942 View attachment 418943 View attachment 418946 View attachment 418947 View attachment 418942
Mbona umeirudia mara nyingi sasa hiyo picha?!

Lakini kama hutajali ni-PM mawasiliano yake huyo binti,
 
ni mdomo uliotayari kwa kiss, avator pc inawakilisha. ni mtazamo wangu tu !!
 
Yeah wenye lips Nene huwaga no hatari sana kunako.
 
Back
Top Bottom