Walai usiulize kama ni mtam, inshara hii yatosha kujua kuwa yu.....

Walai usiulize kama ni mtam, inshara hii yatosha kujua kuwa yu.....

1476616766690.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bi tukinao
waache waimbe hiyo lips ni douuuma !! bora ningerudisha mshare wa muda nyuma, back on time. ningekuja kulala mlangoni kwako. mpaka ungenionea huruma. sipati picha ?
 
sakasaka ipi mkuu au ya meatu-simiyu?
Teh teh teh. Dah! Hapana isee, ni jina tu mkuu. Ninaitwa Sakasakamao. Lakikni kwa kuwa ni jina refu na kutamkika kwa baadhi ya watu ni shida, nikaamua kuligawa... Sakasaka Mao.
Yaonesha wewe ni mwenyeji wa Mwanhuzi, maana ulivyosema umenikumbusha adi Mwanjoro.
 
Teh teh teh. Dah! Hapana isee, ni jina tu mkuu. Ninaitwa Sakasakamao. Lakikni kwa kuwa ni jina refu na kutamkika kwa baadhi ya watu ni shida, nikaamua kuligawa... Sakasaka Mao.
Yaonesha wewe ni mwenyeji wa Mwanhuzi, maana ulivyosema umenikumbusha adi Mwanjoro.
oyoooo umeuwaaa mi wa meatu moja!! we wap mkuu
 
oyoooo umeuwaaa mi wa meatu moja!! we wap mkuu
Me mwenyeji wa Bariadi mjini, mtaa wa Malambo. Nilipafahamu Meatu vizuri tulipokuja kutatua migogoro (vita)ya Wasukuma na Wataturu kule Bukundi, wakigombea malisho na malambo ya kunyweshea mifugo. Ukini"pm" nitakupa "full story".
 
Back
Top Bottom