Sio siri nimeshangaa...kuna mtu unazinguana nae mitandaoni kumbe mnalewaga wote[emoji15] [emoji15] ....serious nimekoma[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]Nawachoraga tu mnafikiri siwajuagi kumbe basi tu sitakagi kuwashobokea Mzigua90
Kweli mkuu.. Huwa nawachora sana pale Mibbs wana JF kwenye simu zao naona wapo JF mimi nimekaa kwenye stuli yangu juu naangalia Liverpool..Sio siri nimeshangaa...kuna mtu unazinguana nae mitandaoni kumbe mnalewaga wote[emoji15] [emoji15] ....serious nimekoma[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]
Unawapimishia tu mzee babaKweli mkuu.. Huwa nawachora sana pale Mibbs wana JF kwenye simu zao naona wapo JF mimi nimekaa kwenye stuli yangu juu naangalia Liverpool..
Siku Liverpool FC inacheza ukiwepo Mibbs ujue nipo hapo japo hutanijua ila mimi huwa nawaenjoy tu nasema 'hiiiiii' [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....asee nimeshangaa kweli?!!!...Kweli mkuu.. Huwa nawachora sana pale Mibbs wana JF kwenye simu zao naona wapo JF mimi nimekaa kwenye stuli yangu juu naangalia Liverpool..
Siku Liverpool FC inacheza ukiwepo Mibbs ujue nipo hapo japo hutanijua ila mimi huwa nawaenjoy tu nasema 'hiiiiii' [emoji23][emoji23][emoji23]
Anatusanifu[emoji23] [emoji23]Unawapimishia tu mzee baba
Hahaha sema huwa sipendi kuingilia privacy za watu mkuu nawaangaliaga tu najiuliza huyu ni nani navuta picha tu zisizoisha nasepa zanguUnawapimishia tu mzee baba
[emoji3] [emoji3] [emoji3] siku ukiwajua ni nani na nani nazani utawasumbua sana mkuuHahaha sema huwa sipendi kuingilia privacy za watu mkuu nawaangaliaga tu najiuliza huyu ni nani navuta picha tu zisizoisha nasepa zangu
Ata siwanifu wit na sema nawachora tuAnatusanifu[emoji23] [emoji23]
Hamna ukiweka mambo yako private wala hakuna mwenye atakujua. Mimi nikiwa mahali nikaona mtu kaingia JF kwenye simu yake huwa lazima nimpige chabo mpaka nijue ID yake alafu nakausha wala simwambii kitu mimi nakuwa namwi enjoy tu [emoji23][emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....asee nimeshangaa kweli?!!!...
Sio vizuri kuzinguana mitandaoni unaweza wekewa hadi sumu[emoji15] kama mtu anakujua! Sitaki tena asee[emoji119] [emoji119]
Unatuchora draft[emoji144] [emoji144]Ata siwanifu wit na sema nawachora tu
Anatujua huyu[emoji3] [emoji3] [emoji3] siku ukiwajua ni nani na nani nazani utawasumbua sana mkuu
Haaahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28]Hamna ukiweka mambo yako private wala hakuna mwenye atakujua. Mimi nikiwa mahali nikaona mtu kaingia JF kwenye simu yake huwa lazima nimpige chabo mpaka nijue ID yake alafu nakausha wala simwambii kitu mimi nakuwa namwi enjoy tu [emoji23]
Wala sina haja ya kuwajua mkuu na hata nikiwajua sitataka wao wanijue asee maana mimi nje ya mtandaoni ni anti social[emoji3] [emoji3] [emoji3] siku ukiwajua ni nani na nani nazani utawasumbua sana mkuu
Siku za weekend ukiwa Mibbs uwe makini ukiona mtu kasogelea mezani kwenu anaomba kukaa alafu hana maongezi sana ujue ni spy mimi najaribu kudukua mambo kadhaa.. Nisikie kama mnaongeleaga mambo ya JF ni member gani mnamuongelea sana [emoji23][emoji23]Haaahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28]
Kuuumbe[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28]....halafu inanitokeaga sana hiyoSiku za weekend ukiwa Mibbs uwe makini ukiona mtu kasogelea mezani kwenu anaomba kukaa alafu hana maongezi sana ujue ni spy mimi najaribu kudukua mambo kadhaa.. Nisikie kama mnaongeleaga mambo ya JF ni member gani mnamuongelea sana [emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125]Unatuchora draft[emoji144] [emoji144]
Kumbe anawajua na anazuga tu hapaAnatujua huyu
Ayaaaaaaa nishauza siri za kambi [emoji144][emoji144][emoji144]Kuuumbe[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28]....halafu inanitokeaga sana hiyo
OK vizuri sana mkuuWala sina haja ya kuwajua mkuu na hata nikiwajua sitataka wao wanijue asee maana mimi nje ya mtandaoni ni anti social
Mara nyingi we huwa unawashtukiaga. Sasa nimeelewa kwa nini tulikuwa tunahama Meza hata tatu kwenye chimbo moja. Heshima kwako.Kuuumbe[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28]....halafu inanitokeaga sana hiyo