edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Kama napajua vileView attachment 944288 MAMBO MATAM TAM PANDE YA KIMARA temboni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama napajua vileView attachment 944288 MAMBO MATAM TAM PANDE YA KIMARA temboni
Kama napajua vile
Ile kitu tamu sana asikwambie mtuKumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
Ila ni najisi(kwa kiingereza neno najisi ni harmful)Ile kitu tamu sana asikwambie mtu
Jana nimekula pale sabasaba aisee Jamaa hajui kabisaa kupikaaa...tumbo limeniuma sanaa! Jamaa falaa sana namuhamaaa kabisa
Kuna mwana mpya yulee nadhani hajuii kabisaa....Unamaanisha Rongai mkuu, mbona ndiyo chimbo langu pako vizuri tu.
huku Kigamboni kuna ROMBO PUB hii lami ya kwenda kisiwani mkabala na Fence ya jeshi
Utatamani wakutupie kwenye karai ukombe kila kitu
Panaitwa sabasabakuna sehemu moja pale tanga wanatengeneza kitimoto tamu balaaa...............
nimepasahau jina ila ni jiran na round about ya kwanza ukitokea pongwe kabla hujaingia mjini
Morogoro university?! Naomba unielekeze vzr plsKwa hapa Morogoro. Kitimoto kizuri kipo ndani ya morogoro university.
Haha pale watakuchinja halafu wakupike mkuu.Morogoro university?! Naomba unielekeze vzr pls
Hahahahahha..MUM!!?Haha pale watakuchinja halafu wakupike mkuu.
Nimekuja,nielekeze!Njoo nikuelekeze
yap mkuu.Hahahahahha..MUM!!?
Weeee.Watanikamata wanifunge kwny yale ma transformer nilipuke kwa shoti ya umeme halafu nakufayap mkuu.
Hahaha.mkuu naona hunitakii memaWeeee.Watanikamata wanifunge kwny yale ma transformer nilipuke kwa shoti ya umeme halafu nakufa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji51] [emoji51] [emoji51]Weeee.Watanikamata wanifunge kwny yale ma transformer nilipuke kwa shoti ya umeme halafu nakufa