rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Kilo sh ngapi??Sinza mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilo sh ngapi??Sinza mkuu
[emoji106][emoji106][emoji106]Hamna mkuu...cha kuchoma ni safari resort
Maza kachumbari inatosha![emoji4][emoji4][emoji4]Unataka na nn my son,.ndizi,chips,ugali,wali au na nn??em niambie tafadhali mama anakusikiliza..
Mimi huwa nachemsha jioni halafu nanywea chai kesho yake![emoji4][emoji4][emoji4]Inautamuwake ... Mi naiweka kwenye plastic bug naitupia na viungo kwenye microwave inajichemsha yenyewe
Kinara wa kitimoto![emoji1][emoji1][emoji1]Ujaribu na INI na mkia ni vitamu.. Mixer bandama bado sijala utumbo wake tuu na pua ile ila soon ntanunua
Rafiki siyo uchafu,kule kwetu kitimoto inaitwa mboga!Mama akikuambia mwanangu kaniletee mboga dukani maana yake unatakiwa ukalete kitimoto!!Mnakula uchafu
Haya...usipitie kwenye mechi leo,uwahi kurudi..Maza kachumbari inatosha![emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji1][emoji1][emoji1]Haya...usipitie kwenye mechi leo,uwahi kurudi..
😉😗😗[emoji1][emoji1][emoji1]
Hakuna ka emoj ka kutema mateRafiki siyo uchafu,kule kwetu kitimoto inaitwa mboga!Mama akikuambia mwanangu kaniletee mboga dukani maana yake unatakiwa ukalete kitimoto!!
Yaani kitimoto ni uchafu wa std gaugeHakuna ka emoj ka kutema mate
Rafiki unapishana na utamu siku ukionja wala hutaacha tena kula,ngoja uachike halafu nikulishe kidogo uone ilivyo tamu!!Hakuna ka emoj ka kutema mate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sili sili halaf naachika namuachia nani thubutuuuRafiki unapishana na utamu siku ukionja wala hutaacha tena kula,ngoja uachike halafu nikulishe kidogo uone ilivyo tamu!!
19,000 mkuuKilo sh ngapi??
Rafiki kwa sababu siku ukiachika utakuwa wangu basi nitajitahidi kukufundisha kula kitimoto mdogomdogo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sili sili halaf naachika namuachia nani thubutuuu
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ