Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Njoo Huku mitaa ya nyakato Kahama panaitwa old traford,,,,wazee wa kitimoto Kahama mji huwa tunakusanyika pale noma nomalee
 


Mimi Sheikh Mkereketwa_Huyu nafakamia sana hii starehe haswa hapa kwetu Singida pale kwa Joseph karibu na kituo kikuu cha mabasi.Hii nyama ni tamu sana kwani hata Mohammad alikuwa anakula, karibuni nyote pale kwa Joseph tukale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…