Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Daaadeq toto la kizigua kwisha habari yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaadeq toto la kizigua kwisha habari yake
Daaadeq toto la kizigua kwisha habari yake
@witnessj you my tester niambie kati ya vijiwe ulivyopitia kipi kimekubamba?Safi dada....asee usiache kula
Mkuu uliposema kakakola umenikumbusha mbali sana mkuuUmnunulie na "kakakola" asukumie mlo.Hahahahaaa
Nilipoandika hivyo nilikuwa nimekumbuka enzi za utoto.Mama,ninunulie "kakakola" kweliiii!(kwa sauti ya kubembeleza kama unaimba)
NipelekeTip Top pale kwa nyuma ya bar ya SILVER kuna jamaa wanamwita BOSS JOHN Shenzi type yule skuwahi jua kama kuna ROST ya kongoro ya KITIMOTO bwana bwana bwana..Usiombe uwe na HELA akili inawaza wapi BOSS JOHN
wewe tu mkuu andaa Chenchi week end ikikaribia nishtue
Tip Top pale kwa nyuma ya bar ya SILVER kuna jamaa wanamwita BOSS JOHN Shenzi type yule skuwahi jua kama kuna ROST ya kongoro ya KITIMOTO bwana bwana bwana..Usiombe uwe na HELA akili inawaza wapi BOSS JOHN
Anatengeneza makange ya kitimoto??Tip Top pale kwa nyuma ya bar ya SILVER kuna jamaa wanamwita BOSS JOHN Shenzi type yule skuwahi jua kama kuna ROST ya kongoro ya KITIMOTO bwana bwana bwana..Usiombe uwe na HELA akili inawaza wapi BOSS JOHN
yes Boss..makange,choma,mchemsho,mishkaki,nk nk ni wewe tuAnatengeneza makange ya kitimoto??
Nitamuibukia..yes Boss..makange,choma,mchemsho,mishkaki,nk nk ni wewe tu
deileeee Hana siku asiyofungua..sema week end ndio raia wanafurika kama anagawa bure kumbe watu wanatoa helaNitamuibukia..
Anapiga mzigo deile au weekend tu?