Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?

Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.

View attachment 942375

View attachment 942377

Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,

Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.


Cc Zero IQ
Huu uzi umejaa wavaa pedo wanameza mate tu
 
Nimefika karagwe huku kata ya kanoni..kitimoto elfu tatu kilo moja.. Nikakaa chini kwanza machozi ya furaha yakintiririka.


Kitimoto yapaswa kubeshimiwa.
[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha...ukaanza kulia kwa furaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...ukizingatia Dar Kilo moja Buku 14[emoji134][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji23]....Sipati picha ulivyoagiza kwa pupa[emoji23][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Zenji naipata wapi wazee...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahhaha...ukaanza kulia kwa furaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...ukizingatia Dar Kilo moja Buku 14[emoji134][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji23]....Sipati picha ulivyoagiza kwa pupa[emoji23][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Songea nawapa shikamoo kwa Kitimoto. Kilo elfu 8 tena unapewa imetolewa ngozi kabisa. Two weeks nilifurahi mwenyewe coz pande la mbuzi lina bei kubwa kuliko nusu kilo ya Kitimoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom