Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Naenda sana hapo Riverside...tatizo wanaweka colour kibao mpaka kinakosa ladhaHvi Micasa ya Hapa Riverside umeenda...?
Jamaa ni mafundi wa Ribs sijawahi ona.
The only thing to fear is fear itself
Hivi hawa kazimoto wapo 4ways au governor au Kwa wapo pale kinondoni maana hata Mimi nawasikia sikia si HabaTwin nasubiri Corona iishe niende Kazimoto Pork naona kuna wadau nimekutana nao wanapasifia sana.
Hao wapo Tabata SegereaHivi hawa kazimoto wapo 4ways au governor au Kwa wapo pale kinondoni maana hata Mimi nawasikia sikia si Haba
I see nilipita hapo mwezi Aprili, wana kitimoto ya kuchoma iliyotulia aanaDODOMA ...KWA MASISTA UASKOFUNI NI BALAA!
afu kwa Wale wanaopenda ile inayotengenezwa kwenye Vibanda umiza😀Pale Mkabala na RC NKUHUNGU Kama unaanza kuelekea Chang'ombe kuna Kina Manka Kibao na wamekubuhu katika maandalizi ya hii haramu.
Pia Mkabala na Bunge kule kwenye Vibanda vya Mama Nchimbi kuna Bar sio nzuri kivile lakini wanatengeneza kitu inachanganywa na mchicha ni hatari!
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
Kilimanjaro (Boma) - Barabara ya kwenda Lawate, upande wa kushoto kuna Bar ndogo ndogo ina hii huduma.
Kilimanjaro (Mtaa wa Karanga opposite Magereza) - Kuna fundi mmoja yuko mwisho kabisa wa zile frame za biashara. Ana balaa huyu jamaa. Anatoa kitu safiii sana.
Mbeya (mjini) - Penge restaurant maeneo ya Mzumbe Uni.
Mbeya (mjini) - Barabara ya kwenda hotel za Mfikemo kuna vibanda vingiii.
Mbeya (mjini) - Chini ya Chaula Pub karibu kabisa na chuo cha mzumbe.
Arusha - Kimandolu eneo la Njia ya Ng'ombe pale kuna mtaalam kajiwekea kibanda safii.
Arusha - Mianzini mkabala na CRDb office kuna vibanda vingii.
Arusha - Mwanzo wa Barabara ya kanisa la Father babu ukitokea ALMC hospital.. karibu na mafundi wa furniture wameweka vitanda nje na makabati. Kuna Bar siijui jina. Wako vizuri sana.
Arusha - Karibu na mahakama ya Wilaya kuna bar inaitwa Apache. Huduma safi na salama.View attachment 1413668
Sent using Jamii Forums mobile app
Twin mambo iko Rudi's farm Bahari beachTwin nasubiri Corona iishe niende Kazimoto Pork naona kuna wadau nimekutana nao wanapasifia sana.
Kisa? Mi nilienda mara moja tu sikurudi tenaNilikua napapenda sana ila nimejikuta napachukiiiiiia sitaki hata kupasikia
Yes napajua vizuri ,Asante mida mida nitakuwa hapo
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji16]afu mkuu nimekuonaNime pita hapo Nime enjoy sana baada ya kuona wadau kilo mmoja mna sema ina kuwa kidogo Nika piga 1.5 kg hakika wako vizuri
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi hawa kazimoto wapo 4ways au governor au Kwa wapo pale kinondoni maana hata Mimi nawasikia sikia si Haba
I wish siku nitembelee pande hizo😋Nadhani umeelewa hizi Mambo, sehemu imejificha Ila tunachoma wese kwenda Kula huko, halfu kuna watu wanasemaga wanakula mdudu, mi nawaambiaga Tu kama unajisifu umewahi Kula mdudu nitkupeleka shehemu siku Moja ukirudi utajua unakulaga mdudu au uchafu
Buguruni??, aisee usijepikiwa mbwa mkuu naogopa mimi.Maeneo mengi yanayotoa kitimoto cha nguvu siyo ya kuridhisha! Kivulini pub ya buguruni stand ina kitimoto kali ila bar yao ni ya uswazi sana
Kisa? Mi nilienda mara moja tu sikurudi tena
Mibbs ni overrated hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Twin mambo iko Rudi's farm Bahari beach
Naomba kwa heshima yangu uende weekend ijayo ndo utajua kuwa pale kweli kuna kitimoto kwingine ni mfano wake
Yaan ni tamu balaa
Sent using Jamii Forums mobile app