Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

I see nilipita hapo mwezi Aprili, wana kitimoto ya kuchoma iliyotulia aana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa tanga chimbo gani jingine zuri nishawah kupita sabasaba ila kitimoto chao sijawah kukipenda
 
Bar ya Majumba ya Mawe Msamvu morogoro nyuma ya sheli ya puma extremely amazing ndio nakula kabla sijaunga dodoma hadi sausage za mnyama unapata hadi kitichoma ipo, kuku na beef pia

 

aah iyo ya mbeya chini ya kwa chaula ni balaaa yaani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa? Mi nilienda mara moja tu sikurudi tena

Mibbs ni overrated hamna kitu



Sent using Jamii Forums mobile app

Nilienda saa 7 mpaka saa 10 sijaletewa chakula na nilikua mjamzito njaa iliuma mpaka nikataka kuzimia mbele naona giza, nawaambia wahudumu najisikia vibaya sana nileteeni wanajizungusha tu nikaishia kupelekwa Marie Stopes.

Toka hapo sijaenda na kila nnaekutana nae akitaka kwenda namshawishi asiende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…