Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo


Ngoja nikamuulize rafiki yangu Abdallah huwa anakula wapi. Alinipeleka siku moja nimesahau njia. Sas
 

Ngoja nimuulize rafiki yangu Abdallah. Alinipeleka siku kabla ya Ramadhani nikasahau njia. Wanapika kitimoto huko balaa!!!
 
Mmmh[emoji26] mbona hii walizidi?

Hata kitimoto yao sio kiviiile, mikaroti mingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishawahi kaa masaa matatu hapo na nilikuwa nishapiga simu...

Starehe inakuwa kero

The only thing to fear is fear itself
 
Nishawahi kaa masaa matatu hapo na nilikuwa nishapiga simu...

Starehe inakuwa kero

The only thing to fear is fear itself

Wabongo tukiwa na watej wengi hudum zinakua mbovu.

Sasa masaa matatu na umepiga simu, mimi sikupiga na ilikua jumamosi cha moto nilikiona.

Kuna sehemu nyingine nilikula kitimoto konki sana maeneo ya buza tanesco kuna majiko mengi yaani lisaa tu ushaletewa msosi.
 
Mimi pia nimejiapiza sitaenda tena abadani...tena ukiwa na njaa ndipo hapafai zaidi.

Halafu sasa imeshakuwa ya ovyo na mateso juu

The only thing to fear is fear itself
 
Buza Tanesco njia rahisi kufika huko ni ipi!??
Wanauzaje huko kwa kilo!?

The only thing to fear is fear itself
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…