Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?

Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.

View attachment 942375

View attachment 942377

Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,

Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.


Cc Zero IQ

Ngoja nikamuulize rafiki yangu Abdallah huwa anakula wapi. Alinipeleka siku moja nimesahau njia. Sas
 
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?

Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.

View attachment 942375

View attachment 942377

Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,

Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.


Cc Zero IQ

Ngoja nimuulize rafiki yangu Abdallah. Alinipeleka siku kabla ya Ramadhani nikasahau njia. Wanapika kitimoto huko balaa!!!
 
Nilienda saa 7 mpaka saa 10 sijaletewa chakula na nilikua mjamzito njaa iliuma mpaka nikataka kuzimia mbele naona giza, nawaambia wahudumu najisikia vibaya sana nileteeni wanajizungusha tu nikaishia kupelekwa Marie Stopes.

Toka hapo sijaenda na kila nnaekutana nae akitaka kwenda namshawishi asiende.
Mmmh[emoji26] mbona hii walizidi?

Hata kitimoto yao sio kiviiile, mikaroti mingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilienda saa 7 mpaka saa 10 sijaletewa chakula na nilikua mjamzito njaa iliuma mpaka nikataka kuzimia mbele naona giza, nawaambia wahudumu najisikia vibaya sana nileteeni wanajizungusha tu nikaishia kupelekwa Marie Stopes.

Toka hapo sijaenda na kila nnaekutana nae akitaka kwenda namshawishi asiende.
Nishawahi kaa masaa matatu hapo na nilikuwa nishapiga simu...

Starehe inakuwa kero

The only thing to fear is fear itself
 
Nishawahi kaa masaa matatu hapo na nilikuwa nishapiga simu...

Starehe inakuwa kero

The only thing to fear is fear itself

Wabongo tukiwa na watej wengi hudum zinakua mbovu.

Sasa masaa matatu na umepiga simu, mimi sikupiga na ilikua jumamosi cha moto nilikiona.

Kuna sehemu nyingine nilikula kitimoto konki sana maeneo ya buza tanesco kuna majiko mengi yaani lisaa tu ushaletewa msosi.
 
Wabongo tukiwa na watej wengi hudum zinakua mbovu.

Sasa masaa matatu na umepiga simu, mimi sikupiga na ilikua jumamosi cha moto nilikiona.

Kuna sehemu nyingine nilikula kitimoto konki sana maeneo ya buza tanesco kuna majiko mengi yaani lisaa tu ushaletewa msosi.
Mimi pia nimejiapiza sitaenda tena abadani...tena ukiwa na njaa ndipo hapafai zaidi.

Halafu sasa imeshakuwa ya ovyo na mateso juu

The only thing to fear is fear itself
 
Wabongo tukiwa na watej wengi hudum zinakua mbovu.

Sasa masaa matatu na umepiga simu, mimi sikupiga na ilikua jumamosi cha moto nilikiona.

Kuna sehemu nyingine nilikula kitimoto konki sana maeneo ya buza tanesco kuna majiko mengi yaani lisaa tu ushaletewa msosi.
Buza Tanesco njia rahisi kufika huko ni ipi!??
Wanauzaje huko kwa kilo!?

The only thing to fear is fear itself
 
Back
Top Bottom