Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Ukiwa DSM ni palee full dose!!
ukiwa UK downing st!
Ukiwa Musoma Kamunyonge Bazaar!
ukiwa Bukoba nipalee Nyamkazi!!
ukiwa Sydney ni wabi wabi shabel kuna wacongo wengi pale!
ukiwa Mtwara kulee kwa mkuu wa mkoa na Magomeni!
ukiwa Tabora nenda Miyemba evenue!
ukiwa japani Nenda shika myoto estate!
 
Aisee kuna hiko cha msimbazi centre pale dar sio poa hawapunji wanaweka kingi balaa
Ile mijamaa inajua kweli!!!! tena wana lima na michicha ya leo leo kule nyuma ya mabanda yao ya kuka angia kiti moto bana wee!! safi sana! ukishiba sana kuna sehemu safii! unalipia unalala kwa siku unazo taka!!

ila bei yao ndo Matata afadhali ingekuwa poa kidogo! japo parking ni bure! lkn huwezi charge mtu asiye na gari sawa na mwenye gari!.......wakazi wengi wa Mbagala hushukiga hapo!! sijui kwa nini?
 
Saf sana....mkuu io sehem ya kulala unaweza ingia na mchuchu?
 
Tabata chama alipokua mfojo kwa nyuma wanaita Eden Pub
 
Apache bar [emoji52][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…