Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh!! ndio ikoje hiyo mkuuKuna moja nimekula mahali inaitwa Tekenya .. Nyie ni tamuuu balaa
Namba hiyo hapo
0785 910 113 wapo Stop over
Inatengenezwaje hapo na bei gn? Naenda ChugaNeas BBQ Themi Hill Njiro ni balaa.
Soma Marko 7:18-20kiti moto ni haramu-najisi (HARMFUL)
Mwisho mbaya wa walao nguruwe katika Biblia
14Wakati mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,
nanyi mtastawi kama majani;
mkono wa Bwana utajulikana kwa watumishi wake,
bali ghadhabu yake kali
itaonyeshwa kwa adui zake.
15Tazama, Bwana anakuja na moto,
magari yake ya vita ni kama upepo wa kisulisuli,
atateremsha hasira yake kwa ghadhabu kali,
na karipio lake pamoja na miali ya moto.
16Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake
Bwana atekeleza hukumu juu ya watu wote,
nao wengi watakuwa ni wale
waliouawa na Bwana.
17 Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini,
wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja
na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja, asema Bwana
Isaya 65
- Marejeo: Isaya 66:14-17
- Imechapishwa: 18/01/202
1 Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; naliliambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,
2 Nitazameni, nitazameni. Mchana kutwa nimewanyoshea mikono yangu watu walioasi, watu waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe;
3 watu wanikasirishao mbele za uso wangu daima, wakitoa dhabihu katika bustani zao, na kufukiza uvumba juu ya matofali;
4 waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;
5 watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.
Zinapikwa na Waarabu au?Zanzibar Hotel wako vizuri tangu zamani
Matako Bar & Pub, Kagera moja hio pia ukifika hutojutia kabisa wako vizuri sanaKazimoto Pork unyamaa sana wanatengeneza mdudu mpaka ukila hujui kama ni mdudu au vipi...!
Kimara Stop Over0785 910 113 wapo Stop over
🔥🔥 hawa kila kitu chao ni balaaNeas BBQ Themi Hill Njiro ni balaa.
Asije akasema hana bible.Soma Marko 7:18-20
Kitimo aendelee kuliwa mpaka na Mahostadhi, Mashehena na WasabatoAsije akasema hana bible. View attachment 2759725