Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Ndo maana nasemaga usigombane na mtu mtandaoni utakuta ndo yule shosti wako weekend haipiti hamjagonga glass.
mibbs naendaga ila mara nyingi naenda kunywa kuliko kula. Kama leo naweza kwenda nikitoroka kazini naenda kula biriani nikitoka hapo nazama mibbs mpaka saa tatu nne narudi kulala.
We demu kumbe tunakulaga wote kitimoto mimi, wewe na Simara sehemu moja[emoji15] [emoji15] [emoji15] namba 2: Mibbs Sinza??? Shangaa wapi? kumbe nakujua na labda na wewe unanijua?....asee kumbe tunajuana?.....sitaki tena ugomvi jf asee![emoji119] [emoji119]

Simara
Jason Statham2
KAPONGO
@joowezy
 
Lol. Hiyo chuki au roho mbaya sasa? yani mzinguane kidogo mtu akuwazie sumu? sema mtanuniana tu. Sasa mkute mnasharw kampani ndo uwiii.
[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....asee nimeshangaa kweli?!!!...

Sio vizuri kuzinguana mitandaoni unaweza wekewa hadi sumu[emoji15] kama mtu anakujua! Sitaki tena asee[emoji119] [emoji119]
 
Lol. Haya mambo ya kuombwa kukaa mezani hata kama sio spy yakatae kabisa. Siku hizi wanatembea na dawa za kulevya wanaweka kwenye kinywaji. Kuna kesi za kutosha tu yani. Wale wanaopewa offer bar na watu wasiowajua nao wanakwenda na maji. Na nyie kaka zangu unaona binti mzuri au unaona jamaa ukajua mshkaji tu chief unaliwa timing.
Uzuri marafiki zangu hawaijui JF so tukikaaga ni mastory mengine tuu.
Siku za weekend ukiwa Mibbs uwe makini ukiona mtu kasogelea mezani kwenu anaomba kukaa alafu hana maongezi sana ujue ni spy mimi najaribu kudukua mambo kadhaa.. Nisikie kama mnaongeleaga mambo ya JF ni member gani mnamuongelea sana [emoji23][emoji23]
 
Hahaahahahaa. Siku ya mpira nilienda mara moja nadhani. Mi nikiona mtu ana app ya JF kwenye simu akili haituliagi. Bahati mbaya sijawahi kujua ID ya mtu hata mmoja.
Unatakiwa ujifunze u detective.. Nikiona nakwama huwa naomba simu namdanganya sina bundle naomba niangalie matokeo ya mpira nimebet sasa mkeka wa hela unaelekea ku tick bado team moja tu. Hapo sio rahisi akunyime simu [emoji23][emoji125][emoji125]
 
We demu kumbe tunakulaga wote kitimoto mimi, wewe na Simara sehemu moja[emoji15] [emoji15] [emoji15] namba 2: Mibbs Sinza??? Shangaa wapi? kumbe nakujua na labda na wewe unanijua?....asee kumbe tunajuana?.....sitaki tena ugomvi jf asee![emoji119] [emoji119]

Simara
Jason Statham2
KAPONGO
@joowezy

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakua nikienda naangaza angaza macho
 
Ndo maana nasemaga usigombane na mtu mtandaoni utakuta ndo yule shosti wako weekend haipiti hamjagonga glass.
mibbs naendaga ila mara nyingi naenda kunywa kuliko kula. Kama leo naweza kwenda nikitoroka kazini naenda kula biriani nikitoka hapo nazama mibbs mpaka saa tatu nne narudi kulala.
Ni kweli asee!...umenena
 
Back
Top Bottom