Waidi Mziray
Member
- Sep 9, 2018
- 19
- 10
Mini bwaanaawee mambo. Yote kwa Mnzava Bunju n mbweni. Uspime huwo,mziki wa BBQ bacon kitmuto weeeaaahhyahUnasema kweli mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mini bwaanaawee mambo. Yote kwa Mnzava Bunju n mbweni. Uspime huwo,mziki wa BBQ bacon kitmuto weeeaaahhyahUnasema kweli mkuu?
Ukiniona usishangae....
Unaona sasa unazidi kudanganya. Mi nakaaga nje mpka saa sita au saba ndo naingia loungeHapo nilikuwa naelezea stori nyingine.
Wewe najua sista duu, ulikuwa una kampani yako! Mnaanzia lounge..hahaaa
Sijakuona jana. Mibs palinoga balaaaa
Naenda mchana/ jioni hii!!
Jana kulikua na event ya Johnnie Walker. Palipendeza kweli. Ungekuja jana usingekosa slay queen mmoja wa kukukaribisha mjini.
Aaaaah thubutuu. Kuoka mchezo? Sema uokoke tu sasa. Hahahaaa.Hahahaaaa.
Nimeokoka mimi.....
Aaaaah thubutuu. Kuoka mchezo? Sema uokoke tu sasa. Hahahaaa.
Hivi Mzigua, wewe siyo slay queen?
Manake una kila sifa ya kuwa slay queen na zaidi....
Palikuwa na ishu gani?... Daah nimekosa!Sijakuona jana. Mibs palinoga balaaaa
Palikuwa na ishu gani?... Daah nimekosa!
Johnnie Walker walikua na event na kulikua na miaka 10 ya mibs pia. Palipendeza mno
Going there again this afternoon.....
That kitimoto is fireeeeee.
I’m hooked....
Shit!...nimeimiss, leo ntatia timu hapo!Johnnie Walker walikua na event na kulikua na miaka 10 ya mibs pia. Palipendeza mno
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Mkuu mate yametoka kiukwel