Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Shit!...nimeimiss, leo ntatia timu hapo!
Leo lala kesho job...!lol[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shit!...nimeimiss, leo ntatia timu hapo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] .... umesahau Jumapili ndo huwa the best day kwangu....hakunaga jam so full kuzurura!..ni unahama kiwanja kimoja kwenda kingine bila bughudha....Leo lala kesho job...!lol[emoji2]
Dooh basi tumetofautiana mimi jumamosi ndiyo ya kuzurula!![emoji23] [emoji23] [emoji23] .... umesahau Jumapili ndo huwa the best day kwangu....hakunaga jam so full kuzurura!..ni unahama kiwanja kimoja kwenda kingine bila bughudha....
Jumamosi sasa siipendi[emoji57] [emoji57] ...hilo foleni lake mji huu mmh!
Sipendi foleni jamani!
Jana nimekula kitimoto ya kuchoma kwa Barongo hata haijanibamba aisee.
Mmh jumapili nikitoka church mi ni kiguru njia[emoji23] [emoji23] ....I love Sunday asee!Dooh basi tumetofautiana mimi jumamosi ndiyo ya kuzurula!!
Jumapili nikae home tu.
Kuna sehemu nimekuita, nenda
Usinifanyie hivyo shost usinifanye nitafute cha la kwenda kula na jua kali hili🤣🤣🤣Mmh jumapili nikitoka church mi ni kiguru njia[emoji23] [emoji23] ....I love Sunday asee!
BTW leo hupati mambo haya[emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 961458
Haaahaaaahaaa.....nilijua tu ntakutamanisha...yaan hapa na kagrupu kangu tunazurura balaa, we uko wapi now?Usinifanyie hivyo shost usinifanye nitafute cha la kwenda kula na jua kali hili🤣🤣🤣
Umenionyesha sehemu murua kabisa.
Murua kiasi cha kutotaka kula mdudu wa sehemu zingine.
Leo kilo na nusu all alone!!
Imagine that!
Nineitamani ghafla. Ila na jua hili kuja nalo Sinza bora Juliana karibu wallah.Mmh jumapili nikitoka church mi ni kiguru njia[emoji23] [emoji23] ....I love Sunday asee!
BTW leo hupati mambo haya[emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 961458
Nipo home nimelala niende wapi na hili juaHaaahaaaahaaa.....nilijua tu ntakutamanisha...yaan hapa na kagrupu kangu tunazurura balaa, we uko wapi now?
Aisee usitufanyie hvyo tunaoumia ni sisi waroho wa nyama yan ushafanikiwa kuichanganya akiliMmh jumapili nikitoka church mi ni kiguru njia[emoji23] [emoji23] ....I love Sunday asee!
BTW leo hupati mambo haya[emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 961458
Hvi Juliana iko upande upiNineitamani ghafla. Ila na jua hili kuja nalo Sinza bora Juliana karibu wallah.
Hvi Juliana iko upande upi
Ok nimeshapata ramani siku ukija kuitembelea kitimoto yako ya city Pork Tbt ama Sinza usisite kunijuza piaMbezi beach kama unaenda Africana ukitokea round about ya Jangwani