Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Ile mandhari full kijijini usipime.....top ya vyote, ile kitimoto ya pale toka nizaliwe sijawahi kula[emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah nilijua utasema yote ukirudi huko ila kwa hapa mjini hawana mshindani..

Hukubeba!!?

Ya contena ulishamalizana nayo!!?

I wish ningekuwa hapo tumepitwa na vingi

The only thing to fear is fear itself
 
Niko hapa Rudi's farm mkuu

Asee tunakulaga matakataka huko kwingine[emoji85][emoji85]

Kitimoto ya hapa ni nyoko

Sent using Jamii Forums mobile app

Habari Naomba nielekeze ilipo jumapili ya leo niumie Rudi’s farm kupata chakula cha mchana.Kazimito nisha enda sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Haa haa haa we jamaa nimekukumbuka baada ya kufika na kula mdudu wa Rudi's farm[emoji1787][emoji1787][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani umeelewa hizi Mambo, sehemu imejificha Ila tunachoma wese kwenda Kula huko, halfu kuna watu wanasemaga wanakula mdudu, mi nawaambiaga Tu kama unajisifu umewahi Kula mdudu nitkupeleka shehemu siku Moja ukirudi utajua unakulaga mdudu au uchafu
 
Niko hapa Rudi's farm mkuu

Asee tunakulaga matakataka huko kwingine[emoji85][emoji85]

Kitimoto ya hapa ni nyoko

Sent using Jamii Forums mobile app
I hope ume enjoy, sidhani kama kuna sehemu nyingine bongo wanatoa hiyo kitu hivyoo, hawa jamaa sijui wanapika wakiwa uchiiii sio poa vitu vyao ni adimu sanaa, we sehemu kilometers za kutosha kitu nachoma mafuta from Riverside mpka huko zaidi ya km 30
 
Back
Top Bottom