Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona enhe!?
Natumia sana rafiki, tena njaa yangu ni nonstop😀😀, siku twende hapo Kazimoto Pork basiiRafiki Kumbe na wewe umo? Siku ya kwenda chimbo huwa unahifadhi njaa kama sisi pia?[emoji16][emoji16][emoji16]
Waswanu Dom iko mitaa ipi MkuuWaswanu - Dodoma
Arusha pale qoutas-Njiro, Sakina-Majengo
Location plz!
Ulirudi tena?Asanteni Rudi’skwa nyama hii,Nime furahi kuwa hapa Siku ya leo .
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji39][emoji39][emoji122][emoji1787][emoji16]Kwakweli umbali unasumbua, unaweza kudrive mpaka unafika home ukashangaa Una njaa tena
Usicheze na Rudi's FarmKuna watu niliwaona pale wanakula ribs na vitambi vyao![emoji24][emoji24][emoji24] Hivi mkuu kwa sasa ni vijiwe gani vinaweza kushindana na hawa kazimoto?
Niko Arusha now, jamani kuna kijiwe nimeletwa na braza angu hapa themi karibu na ofisi ya madini!Waswanu - Dodoma
Arusha pale qoutas-Njiro, Sakina-Majengo
Niko Arusha now, jamani kuna kijiwe nimeletwa na braza angu hapa themi karibu na ofisi ya madini!
Toka nizaliwe sijawahi ona kitimoto kama ile[emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa karibu na hospital ya AICCThemi ipi? Maana ziko mbili
Haha okay! EnjoyHapa karibu na hospital ya AICC
Kuna kibao cha shangwe food blah blah
Mungu wangu kitimoto ya hapa dar nzima hakuna!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi's farm iko wapi hii?
Hapa ni wapi mkuu?