Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ingeundwa club moja yenye matawi cos zikiundwa nyingi nyingine zitakosa nguvu na kama hazina link zitakufa lakini ikiwa moja na matawi tawi likikosa nguvu tawi la kanda nyingine linaweza kutuma wawakilishi na kazi au na bidhaa zao kuenda kutoa kitu kama hamasa na kuleta changamoto na hatimaye kuinua tawi hilo au mnasemaje wakuu
Mleta mada asante sana, unachosema ndo ukweli, niko mwanza na hivi sasa nafanya kazi ya kuwaunganisha wajasiriamali hapa na ukanda huu.
Iwe club ya ujumla kisha kuwe na matawi kwa mikoa, hii itakuwa vyema sana, inawezakena hata kupanga safari ya kutembeleana kimkoa kujifunza. Mi nafikiri anzisha thread yenye conditions watu tujiunge halafu kila mtu aseme yuko wapi.
Uzi wako umenisaidia nilikuwa nimelala kimaendeleo ngoja niamke ili tupambane kuiweka nchi yetu kwenye ramani
Mkuu tumelala si kidogo, tunasubili watawala watuletee neema,
Mimi nimeamua mwaka huu Nataka nianze kilimo na ufugaji. Ingawa bado mwanafunzi ila najua nitafanikiwa.
Am commited
Mimi nimeamua mwaka huu Nataka nianze kilimo na ufugaji. Ingawa bado mwanafunzi ila najua nitafanikiwa.
Am commited